Je, wajua kuwa hakuna kifo?

Je, wajua kuwa hakuna kifo?

Duniani kuna elimu na mitazamo mingi ( rheology) kuhusu maisha kila dhana ni sahihi Kwa anayeiamini.
 
2. (a) Kama watu wakifa hawaendi popote je huwa wanabaki wapi?
(b) Kitendo cha kuwazika waliokufa huwa kina maana gani? Kwanini huwa wanazikwa ?

(c) Je umewahi kufa? kama siyo ulijuaje kuwa huwa hawaendi popote? Kama ndiyo je ulizikwa? Kama ndiyo kwanini ulikubali kuzikwa ? Kama siyo una uhusiano gani na wafu [emoji117] [emoji65] [emoji6]



3. Loading

Swali lingine la kujiuliza ni-
Je wewe unayeishi sasa hv, unaishi tu sasa kati ya maelfu ya miaka iliyopita? Kwamba haukuwahi kuishi na baadae hautaishi tena hapa duniani?
 
Wana JF watu kama hawa wanaosema hakuna kufa, hakuna Mungu na mambo kama hayo wala msijaribu kuwajibu. Just ignore them. Labda wakati wanapost hizo thread wamefunikwa na influence ya bangi na viroba na mirungi kwa pamoja
 
Ama kwa hakika ibilisi ana idadi kubwa ya wafuasi kwenye 'gunia' lake.
 
Uliza chochote kuhusu kufa, kuzaliwa, na au kupotea.

Je, wajua mtu anaweza kufa na kuzaliwa tena?

Je, wajua kuwa watu wakifa hawaendi popote sio mbiguni wala motoni?

Je, wajua hakuna mungu?

Je, wajua hakuna hukumu baada ya kifo?

Uliza maswali yeyote kuhusu uzima, kuishi na maisha baada ya kifo.

Na utajibiwa hapa.
WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA...
 
watu wenye mizana ya aina hii mwisho wao hukaribia
 
Miongon mwa mambo ambayo yanayopatika Tanzania pekee na hakuna kwingineko dunia nzima ni huyu jamaa, anapatkana Tz tu

Ile tafit ya kila waTanzania wanne umeipa nguvu,
Hata anaetumia makalio kufkiria hawezi kusema hayo unayoyasema, bahat mbaya hata majibu ya maswali huna
 
Wasema hakuna kifo tena wasema unaweza kufa na kuzaliwa tena na hakuna hukumu baada ya kifo..
Ss sijui hata ww unamsimamo upi,kifo kipo au hakipo?
 
Uliza chochote kuhusu kufa, kuzaliwa, na au kupotea.

Je, wajua mtu anaweza kufa na kuzaliwa tena?

Je, wajua kuwa watu wakifa hawaendi popote sio mbiguni wala motoni?

Je, wajua hakuna mungu?

Je, wajua hakuna hukumu baada ya kifo?

Uliza maswali yeyote kuhusu uzima, kuishi na maisha baada ya kifo.

Na utajibiwa hapa.
Kulingana na uelewa wako; nakubaliana na wewe kuwa; hakuna kifo, ila na wewe ni lazima ukubaliane na mimi kwamba; kuzaliwa hakupo duniani.
Ndiyo!
Si tumeamua kujiondoa ufahamu?
 
Taifa linazidi kujaa utumbo wa kuku, pitia dawa pharmacy baadae nimeamua kukugaharamia matibabu mpaka siku ukipona.

Pole sana ni matatizo madogo utapona tu amini hilo hasa uzingatie sana dawa na ushauri
 
large.jpg
 
Uliza chochote kuhusu kufa, kuzaliwa, na au kupotea.

Je, wajua mtu anaweza kufa na kuzaliwa tena?

Je, wajua kuwa watu wakifa hawaendi popote sio mbiguni wala motoni?

Je, wajua hakuna mungu?

Je, wajua hakuna hukumu baada ya kifo?

Uliza maswali yeyote kuhusu uzima, kuishi na maisha baada ya kifo.

Na utajibiwa hapa.
Uko wapi bro,kama sikosei upo Mirembe hospitali ya vichaa,usijali utapona tu na utarudi uraiani kama mimi,nilipokuwa mwehu nikapelekwa hapo Mirembe Dodoma,huwezi kuamini eti mimi nilikuwa najiona Bill Clinton yule rais wa Marekani,nikawa naongea na kutoa amri kama yeye,nilipona na leo hii mimi ni yule yule Karanja muuza karanga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom