Je, wajua DART yaingiza kiasi gani kwa siku, mwezi hata kwa mwaka hata kama hawataki tuhoji hii? ni zaidi ya bilioni

Tulishakatazwa kuongelea data zozote popote pale bila kuidhinishwa na taasisi husika , lakin hiyo haitufumbi macho kuona masuala mbali mbali na kuyahesabu,

Hapa tunaongelea Suala moja la DART means Dar es salaam Rapit Transit/Tansportation
kabla ya kuzungumzia suala nalotaka kuweka bayana tujua hints muhimu
1.Nauli ni 650 kwa vituo vyote isipokuwa Mbezi ni 400
2.Final destinations ... yaan vituo vya mwisho yanapogeuzia magari hayo ni sita , Yaan Gerezani, Muhimbili, Kimara , Mbezi na Kivukoni Morocco
3.Basi moja linabeba watu 60 kukaa, lakin zaid ya 70 wakisimama
4. Kila lisaa mabasi yanafika vituoni kama ifuatavyo,
A. Kimara Mwisho Kwa dakika kumi yanafika magari au yanaondoka magari 4 ama ya kutoka Kivukoni,Gerezani,Morocco na yanafika mawili kutoka mbezi mwisho, inamaana kwa lisaa ni magari 24 ya mjini na 12 ya kutoka Mbezi Mwisho
B. Kwa gerezani yanafika magari matatu /manne inamaana kwa lisaa ni magari 10
C. Muhimbili ni 4 kwa lisaa
D. Kivukoni ni 7 kwa lisaa
E. Morocco ni 7 kwa lisaa
F. Mbezi mwisho hapo kila baada ya robo saa yanakuja 3 hivyo kwa lisaa ni magari 12

Tunaanza kukokotoa
MBEZI
hapa ni 400 nauli Times 65 Idadi ya watu Times 12 magari ni sawa na 312,000 kwa lisaa inamaana kwa masaa 12 ni 3,744,000/=

KIMARA
hapa panahesabiwa mara mbili yanayopakia kwenda mjini na kwenda mbezi
a) yaendayo mjini
650 nauli times 65 idadi wanaokuwamo times 24 idadi ya magari ni 1,0140,000/= kwa lisaa inamaana kwa masaaa 12 ni 12,168,000/=
b) Yaendayo mbezi ni 400 times 65 times 12 times masaa 12 ni 3,744,000/=
jumla kuu ya Mbezi ni 15,912,000/=

MOROCCO
650 Times 7 magari Times 65 wasafiri ni 295,750 kwa lisaa
hivo kwa masaa 12 ni 3,549,000/=

MUHIMBILI
650 Times 65 times 4 kwa lisaa 169,000
inamaana kwa masaa 12 ni 2,028,000/=

GEREZANI
650 TIMES 65 TIMES 10 ni 422,500/= kwa lisaa inamaana kwa masaa 12
ni 5,070,000/=

KIVUKONI
650 TIMES 65 TIMES 7 TIMES 12 HOURS NI
3,449,000

JUMLA KUU NI 33,852,000/= KWA SIKU INAMAANA KWA WEEK SIKU 7 NI 236,964,000 KWA MWEZI YAAN SIKU 30 NI 1,015,560,000 KWA MWAKA NI 12,186,720,000 BILION 12 NA USHEE

Put in mind kwamba sijahesabu wanaopandia vituo vya kati kati kama Fire , Usalama , Argentina , Fire, Ubungo,

pili wasafiri wanajaa mpaka 80 kwenye magari mengine,



MATUMIZI AU OPERATING COSTS TUSAIDIANE KUZIANGALIA LAKIN NIMESIKIA SEHEM KWAMBA GHARAMA ZA UENDESHAJI NI
Mafuta kwa mabasi haya an average fuel consumption of 25.4 litres/100 km “ (from Scania's site) kwahiyo km 1 ni sawa na litre 0.245 hivo ukiangalia kwa siku basi moja linaweza piga route ya kimara kivukoni almost mara 4 ambapo ni kilometa kama 10 kutoka kimara kwenda kivukoni kwa kwenda na kurudi mara 4 tuseme km 80 mpaka 110 kila siku kwa kila basi na yapo mabasi 50 yanayofanya routes hizo inakuwa litre 30 mara 50 idadi ya mabasi yafanyayo ruti kwa siku yaan 1500 liters kwa siku kwa mabasi yote inamaana kwa mwezi ni 1500 times 30 days sawa na 45,000lita hivyo gharama ya diesel litre moja ni 2350 zidisha na 45,000 sawa na 105,750,000 kwa mwezi gharama ya mafuta.

mantainace hapa nilielezwa ni 80,000,000 mpaka 100,000,000 kwa mwezi

mishahara ni shiing 500,000 kwa mwezi kwa madereva 62 sawa na 31,000,000/=
mishahara ya wakata ticket 300,000 averagely sawa na 70 mara 300,000 jumla ni 21,000,000
matumizi jumla kwa mwezi ni 105,750,000+80,000,000+31,000,000+21,000,000 = 90,600,000/=
MATUMIZI JUMLA 237,750,000
MAPATO NI 1,015,560,000
FAIDA NI 777,810,000/=


JE IPO SIKU TUTASIKIA KWAMBA SHIRIKA LINAENDESHWA KWA HASARA?? NA IPO SIKU WATATAMANI WAONGEZE NAULI IFIKE 1000 ILI KUFIDIA HASSARA?
Britanicca
Dah....hizi ndizo hisabati za kisiasa...kwa makusudi umepunguza umbali wa ruti za mabasi....kwa makusudi umeacha gharama nyingine muhimu...utawala, ulinzi, utilities nk. ....yote ni katika kujaribu kuweka mahesabu sawa...
Kabla ya Mwendo Kasi...tuliambiwa kiuchumi watu wa Dar hupoteza takribani Shs 8b kwa siku....lakini hadi Sasa hatuja ambiwa mwendokasi imeokoa kiasi gani?...Mambo ya wataalam tuwaachie wataalam

Sent using Beretta ARX 160
 
Tulishakatazwa kuongelea data zozote popote pale bila kuidhinishwa na taasisi husika , lakin hiyo haitufumbi macho kuona masuala mbali mbali na kuyahesabu,

Hapa tunaongelea Suala moja la DART means Dar es salaam Rapit Transit/Tansportation
kabla ya kuzungumzia suala nalotaka kuweka bayana tujua hints muhimu
1.Nauli ni 650 kwa vituo vyote isipokuwa Mbezi ni 400
2.Final destinations ... yaan vituo vya mwisho yanapogeuzia magari hayo ni sita , Yaan Gerezani, Muhimbili, Kimara , Mbezi na Kivukoni Morocco
3.Basi moja linabeba watu 60 kukaa, lakin zaid ya 70 wakisimama
4. Kila lisaa mabasi yanafika vituoni kama ifuatavyo,
A. Kimara Mwisho Kwa dakika kumi yanafika magari au yanaondoka magari 4 ama ya kutoka Kivukoni,Gerezani,Morocco na yanafika mawili kutoka mbezi mwisho, inamaana kwa lisaa ni magari 24 ya mjini na 12 ya kutoka Mbezi Mwisho
B. Kwa gerezani yanafika magari matatu /manne inamaana kwa lisaa ni magari 10
C. Muhimbili ni 4 kwa lisaa
D. Kivukoni ni 7 kwa lisaa
E. Morocco ni 7 kwa lisaa
F. Mbezi mwisho hapo kila baada ya robo saa yanakuja 3 hivyo kwa lisaa ni magari 12

Tunaanza kukokotoa
MBEZI
hapa ni 400 nauli Times 65 Idadi ya watu Times 12 magari ni sawa na 312,000 kwa lisaa inamaana kwa masaa 12 ni 3,744,000/=

KIMARA
hapa panahesabiwa mara mbili yanayopakia kwenda mjini na kwenda mbezi
a) yaendayo mjini
650 nauli times 65 idadi wanaokuwamo times 24 idadi ya magari ni 1,0140,000/= kwa lisaa inamaana kwa masaaa 12 ni 12,168,000/=
b) Yaendayo mbezi ni 400 times 65 times 12 times masaa 12 ni 3,744,000/=
jumla kuu ya Mbezi ni 15,912,000/=

MOROCCO
650 Times 7 magari Times 65 wasafiri ni 295,750 kwa lisaa
hivo kwa masaa 12 ni 3,549,000/=

MUHIMBILI
650 Times 65 times 4 kwa lisaa 169,000
inamaana kwa masaa 12 ni 2,028,000/=

GEREZANI
650 TIMES 65 TIMES 10 ni 422,500/= kwa lisaa inamaana kwa masaa 12
ni 5,070,000/=

KIVUKONI
650 TIMES 65 TIMES 7 TIMES 12 HOURS NI
3,449,000

JUMLA KUU NI 33,852,000/= KWA SIKU INAMAANA KWA WEEK SIKU 7 NI 236,964,000 KWA MWEZI YAAN SIKU 30 NI 1,015,560,000 KWA MWAKA NI 12,186,720,000 BILION 12 NA USHEE

Put in mind kwamba sijahesabu wanaopandia vituo vya kati kati kama Fire , Usalama , Argentina , Fire, Ubungo,

pili wasafiri wanajaa mpaka 80 kwenye magari mengine,



MATUMIZI AU OPERATING COSTS TUSAIDIANE KUZIANGALIA LAKIN NIMESIKIA SEHEM KWAMBA GHARAMA ZA UENDESHAJI NI
Mafuta kwa mabasi haya an average fuel consumption of 25.4 litres/100 km “ (from Scania's site) kwahiyo km 1 ni sawa na litre 0.245 hivo ukiangalia kwa siku basi moja linaweza piga route ya kimara kivukoni almost mara 4 ambapo ni kilometa kama 10 kutoka kimara kwenda kivukoni kwa kwenda na kurudi mara 4 tuseme km 80 mpaka 110 kila siku kwa kila basi na yapo mabasi 50 yanayofanya routes hizo inakuwa litre 30 mara 50 idadi ya mabasi yafanyayo ruti kwa siku yaan 1500 liters kwa siku kwa mabasi yote inamaana kwa mwezi ni 1500 times 30 days sawa na 45,000lita hivyo gharama ya diesel litre moja ni 2350 zidisha na 45,000 sawa na 105,750,000 kwa mwezi gharama ya mafuta.

mantainace hapa nilielezwa ni 80,000,000 mpaka 100,000,000 kwa mwezi

mishahara ni shiing 500,000 kwa mwezi kwa madereva 62 sawa na 31,000,000/=
mishahara ya wakata ticket 300,000 averagely sawa na 70 mara 300,000 jumla ni 21,000,000
matumizi jumla kwa mwezi ni 105,750,000+80,000,000+31,000,000+21,000,000 = 90,600,000/=
MATUMIZI JUMLA 237,750,000
MAPATO NI 1,015,560,000
FAIDA NI 777,810,000/=


JE IPO SIKU TUTASIKIA KWAMBA SHIRIKA LINAENDESHWA KWA HASARA?? NA IPO SIKU WATATAMANI WAONGEZE NAULI IFIKE 1000 ILI KUFIDIA HASSARA?
Britanicca
Hapo kuna gharama mengine nyingi hujahesabu:
1. Matairi
2. Oili
3. Ofisi za Utawala
4. Arakana za Matengenezo
5. Ofisi za hechiara
6. Meneja mkuu
7. Naibu meneja mkuu
8. Mkurugenzi mkuu
9. Naibu mkurugenzi
10. Meneja mauzo
11. Bwana fedha
12. Menaja uhusiano
13. Injinia mkuu
14. Injinia umeme
15. Injinia haidroliki
16. Meneja karakana
17. Mhasibu mkuu
18. Meneja ugavi
19. Meneja hechiara
20. Mameneja wasaidizi
22. Ukiacha mishahara yao hao wote kuna:
Tanesco
DAWASA
Kodi TRA
MATANGAZO
SUMATRA
GAWIO KWA JPM
Ulinzi
Lendikruza 20 manunuzi na petroli
Nyumba 20
Samani za Ofisi, nyumbani
Chai/kahawa
NA MAMBO MENGI MENGINE KAMA "MISWAKI" yaani magari yanayotembea matupu, mishahara ya watumishi 'hewa' nayo ujue kwa bongoland ipo tu!
SASA RUDIA HESABU ZAKO!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kuna gharama mengine nyingi hujahesabu:
1. Matairi
2. Oili
3. Ofisi za Utawala
4. Arakana za Matengenezo
5. Ofisi za hechiara
6. Meneja mkuu
7. Naibu meneja mkuu
8. Mkurugenzi mkuu
9. Naibu mkurugenzi
10. Meneja mauzo
11. Bwana fedha
12. Menaja uhusiano
13. Injinia mkuu
14. Injinia umeme
15. Injinia haidroliki
16. Meneja karakana
17. Mhasibu mkuu
18. Meneja ugavi
19. Meneja hechiara
20. Mameneja wasaidizi
22. Ukiacha mishahara yao hao wote kuna:
Tanesco
DAWASA
Kodi TRA
MATANGAZO
SUMATRA
GAWIO KWA JPM
Ulinzi
Lendikruza 20 manunuzi na petroli
Nyumba 20
Samani za Ofisi, nyumbani
Chai/kahawa
NA MAMBO MENGI MENGINE KAMA "MISWAKI" yaani magari yanayotembea matupu, mishahara ya watumishi 'hewa' nayo ujue kwa bongoland ipo tu!
SASA RUDIA HESABU ZAKO!


Sent using Jamii Forums mobile app
Vimehesabiwa
 
UDART ni shamba lingine la bibi.
Tulishakatazwa kuongelea data zozote popote pale bila kuidhinishwa na taasisi husika , lakin hiyo haitufumbi macho kuona masuala mbali mbali na kuyahesabu,

Hapa tunaongelea Suala moja la DART means Dar es salaam Rapit Transit/Tansportation
kabla ya kuzungumzia suala nalotaka kuweka bayana tujua hints muhimu
1.Nauli ni 650 kwa vituo vyote isipokuwa Mbezi ni 400
2.Final destinations ... yaan vituo vya mwisho yanapogeuzia magari hayo ni sita , Yaan Gerezani, Muhimbili, Kimara , Mbezi na Kivukoni Morocco
3.Basi moja linabeba watu 60 kukaa, lakin zaid ya 70 wakisimama
4. Kila lisaa mabasi yanafika vituoni kama ifuatavyo,
A. Kimara Mwisho Kwa dakika kumi yanafika magari au yanaondoka magari 4 ama ya kutoka Kivukoni,Gerezani,Morocco na yanafika mawili kutoka mbezi mwisho, inamaana kwa lisaa ni magari 24 ya mjini na 12 ya kutoka Mbezi Mwisho
B. Kwa gerezani yanafika magari matatu /manne inamaana kwa lisaa ni magari 10
C. Muhimbili ni 4 kwa lisaa
D. Kivukoni ni 7 kwa lisaa
E. Morocco ni 7 kwa lisaa
F. Mbezi mwisho hapo kila baada ya robo saa yanakuja 3 hivyo kwa lisaa ni magari 12

Tunaanza kukokotoa
MBEZI
hapa ni 400 nauli Times 65 Idadi ya watu Times 12 magari ni sawa na 312,000 kwa lisaa inamaana kwa masaa 12 ni 3,744,000/=

KIMARA
hapa panahesabiwa mara mbili yanayopakia kwenda mjini na kwenda mbezi
a) yaendayo mjini
650 nauli times 65 idadi wanaokuwamo times 24 idadi ya magari ni 1,0140,000/= kwa lisaa inamaana kwa masaaa 12 ni 12,168,000/=
b) Yaendayo mbezi ni 400 times 65 times 12 times masaa 12 ni 3,744,000/=
jumla kuu ya Mbezi ni 15,912,000/=

MOROCCO
650 Times 7 magari Times 65 wasafiri ni 295,750 kwa lisaa
hivo kwa masaa 12 ni 3,549,000/=

MUHIMBILI
650 Times 65 times 4 kwa lisaa 169,000
inamaana kwa masaa 12 ni 2,028,000/=

GEREZANI
650 TIMES 65 TIMES 10 ni 422,500/= kwa lisaa inamaana kwa masaa 12
ni 5,070,000/=

KIVUKONI
650 TIMES 65 TIMES 7 TIMES 12 HOURS NI
3,449,000

JUMLA KUU NI 33,852,000/= KWA SIKU INAMAANA KWA WEEK SIKU 7 NI 236,964,000 KWA MWEZI YAAN SIKU 30 NI 1,015,560,000 KWA MWAKA NI 12,186,720,000 BILION 12 NA USHEE

Put in mind kwamba sijahesabu wanaopandia vituo vya kati kati kama Fire , Usalama , Argentina , Fire, Ubungo,

pili wasafiri wanajaa mpaka 80 kwenye magari mengine,



MATUMIZI AU OPERATING COSTS TUSAIDIANE KUZIANGALIA LAKIN NIMESIKIA SEHEM KWAMBA GHARAMA ZA UENDESHAJI NI
Mafuta kwa mabasi haya an average fuel consumption of 25.4 litres/100 km “ (from Scania's site) kwahiyo km 1 ni sawa na litre 0.245 hivo ukiangalia kwa siku basi moja linaweza piga route ya kimara kivukoni almost mara 4 ambapo ni kilometa kama 10 kutoka kimara kwenda kivukoni kwa kwenda na kurudi mara 4 tuseme km 80 mpaka 110 kila siku kwa kila basi na yapo mabasi 50 yanayofanya routes hizo inakuwa litre 30 mara 50 idadi ya mabasi yafanyayo ruti kwa siku yaan 1500 liters kwa siku kwa mabasi yote inamaana kwa mwezi ni 1500 times 30 days sawa na 45,000lita hivyo gharama ya diesel litre moja ni 2350 zidisha na 45,000 sawa na 105,750,000 kwa mwezi gharama ya mafuta.

mantainace hapa nilielezwa ni 80,000,000 mpaka 100,000,000 kwa mwezi

mishahara ni shiing 500,000 kwa mwezi kwa madereva 62 sawa na 31,000,000/=
mishahara ya wakata ticket 300,000 averagely sawa na 70 mara 300,000 jumla ni 21,000,000
matumizi jumla kwa mwezi ni 105,750,000+80,000,000+31,000,000+21,000,000 = 90,600,000/=
MATUMIZI JUMLA 237,750,000
MAPATO NI 1,015,560,000
FAIDA NI 777,810,000/=


JE IPO SIKU TUTASIKIA KWAMBA SHIRIKA LINAENDESHWA KWA HASARA?? NA IPO SIKU WATATAMANI WAONGEZE NAULI IFIKE 1000 ILI KUFIDIA HASSARA?
Britanicca
UNAJUA KWANINI WALIKATAA ABIRIA TUKITUMIA KADI?

TUANZIE HAPO

Tena tungenunua Kwa control namba mbona wangekoma
 
Tulishakatazwa kuongelea data zozote popote pale bila kuidhinishwa na taasisi husika , lakin hiyo haitufumbi macho kuona masuala mbali mbali na kuyahesabu,

Hapa tunaongelea Suala moja la DART means Dar es salaam Rapit Transit/Tansportation
kabla ya kuzungumzia suala nalotaka kuweka bayana tujua hints muhimu
1.Nauli ni 650 kwa vituo vyote isipokuwa Mbezi ni 400
2.Final destinations ... yaan vituo vya mwisho yanapogeuzia magari hayo ni sita , Yaan Gerezani, Muhimbili, Kimara , Mbezi na Kivukoni Morocco
3.Basi moja linabeba watu 60 kukaa, lakin zaid ya 70 wakisimama
4. Kila lisaa mabasi yanafika vituoni kama ifuatavyo,
A. Kimara Mwisho Kwa dakika kumi yanafika magari au yanaondoka magari 4 ama ya kutoka Kivukoni,Gerezani,Morocco na yanafika mawili kutoka mbezi mwisho, inamaana kwa lisaa ni magari 24 ya mjini na 12 ya kutoka Mbezi Mwisho
B. Kwa gerezani yanafika magari matatu /manne inamaana kwa lisaa ni magari 10
C. Muhimbili ni 4 kwa lisaa
D. Kivukoni ni 7 kwa lisaa
E. Morocco ni 7 kwa lisaa
F. Mbezi mwisho hapo kila baada ya robo saa yanakuja 3 hivyo kwa lisaa ni magari 12

Tunaanza kukokotoa
MBEZI
hapa ni 400 nauli Times 65 Idadi ya watu Times 12 magari ni sawa na 312,000 kwa lisaa inamaana kwa masaa 12 ni 3,744,000/=

KIMARA
hapa panahesabiwa mara mbili yanayopakia kwenda mjini na kwenda mbezi
a) yaendayo mjini
650 nauli times 65 idadi wanaokuwamo times 24 idadi ya magari ni 1,0140,000/= kwa lisaa inamaana kwa masaaa 12 ni 12,168,000/=
b) Yaendayo mbezi ni 400 times 65 times 12 times masaa 12 ni 3,744,000/=
jumla kuu ya Mbezi ni 15,912,000/=

MOROCCO
650 Times 7 magari Times 65 wasafiri ni 295,750 kwa lisaa
hivo kwa masaa 12 ni 3,549,000/=

MUHIMBILI
650 Times 65 times 4 kwa lisaa 169,000
inamaana kwa masaa 12 ni 2,028,000/=

GEREZANI
650 TIMES 65 TIMES 10 ni 422,500/= kwa lisaa inamaana kwa masaa 12
ni 5,070,000/=

KIVUKONI
650 TIMES 65 TIMES 7 TIMES 12 HOURS NI
3,449,000

JUMLA KUU NI 33,852,000/= KWA SIKU INAMAANA KWA WEEK SIKU 7 NI 236,964,000 KWA MWEZI YAAN SIKU 30 NI 1,015,560,000 KWA MWAKA NI 12,186,720,000 BILION 12 NA USHEE

Put in mind kwamba sijahesabu wanaopandia vituo vya kati kati kama Fire , Usalama , Argentina , Fire, Ubungo,

pili wasafiri wanajaa mpaka 80 kwenye magari mengine,



MATUMIZI AU OPERATING COSTS TUSAIDIANE KUZIANGALIA LAKIN NIMESIKIA SEHEM KWAMBA GHARAMA ZA UENDESHAJI NI
Mafuta kwa mabasi haya an average fuel consumption of 25.4 litres/100 km “ (from Scania's site) kwahiyo km 1 ni sawa na litre 0.245 hivo ukiangalia kwa siku basi moja linaweza piga route ya kimara kivukoni almost mara 4 ambapo ni kilometa kama 10 kutoka kimara kwenda kivukoni kwa kwenda na kurudi mara 4 tuseme km 80 mpaka 110 kila siku kwa kila basi na yapo mabasi 50 yanayofanya routes hizo inakuwa litre 30 mara 50 idadi ya mabasi yafanyayo ruti kwa siku yaan 1500 liters kwa siku kwa mabasi yote inamaana kwa mwezi ni 1500 times 30 days sawa na 45,000lita hivyo gharama ya diesel litre moja ni 2350 zidisha na 45,000 sawa na 105,750,000 kwa mwezi gharama ya mafuta.

mantainace hapa nilielezwa ni 80,000,000 mpaka 100,000,000 kwa mwezi

mishahara ni shiing 500,000 kwa mwezi kwa madereva 62 sawa na 31,000,000/=
mishahara ya wakata ticket 300,000 averagely sawa na 70 mara 300,000 jumla ni 21,000,000
matumizi jumla kwa mwezi ni 105,750,000+80,000,000+31,000,000+21,000,000 = 90,600,000/=
MATUMIZI JUMLA 237,750,000
MAPATO NI 1,015,560,000
FAIDA NI 777,810,000/=


JE IPO SIKU TUTASIKIA KWAMBA SHIRIKA LINAENDESHWA KWA HASARA?? NA IPO SIKU WATATAMANI WAONGEZE NAULI IFIKE 1000 ILI KUFIDIA HASSARA?
Britanicca
Duuu, hiyo pesa wanalipa mkopo
 
Hao wanachukua na tren ya mwendokasi ya Mwakyembe. 18 hadi 20 milioni kwa siku.
 
Tulishakatazwa kuongelea data zozote popote pale bila kuidhinishwa na taasisi husika , lakin hiyo haitufumbi macho kuona masuala mbali mbali na kuyahesabu,

Hapa tunaongelea Suala moja la DART means Dar es salaam Rapit Transit/Tansportation
kabla ya kuzungumzia suala nalotaka kuweka bayana tujua hints muhimu
1.Nauli ni 650 kwa vituo vyote isipokuwa Mbezi ni 400
2.Final destinations ... yaan vituo vya mwisho yanapogeuzia magari hayo ni sita , Yaan Gerezani, Muhimbili, Kimara , Mbezi na Kivukoni Morocco
3.Basi moja linabeba watu 60 kukaa, lakin zaid ya 70 wakisimama
4. Kila lisaa mabasi yanafika vituoni kama ifuatavyo,
A. Kimara Mwisho Kwa dakika kumi yanafika magari au yanaondoka magari 4 ama ya kutoka Kivukoni,Gerezani,Morocco na yanafika mawili kutoka mbezi mwisho, inamaana kwa lisaa ni magari 24 ya mjini na 12 ya kutoka Mbezi Mwisho
B. Kwa gerezani yanafika magari matatu /manne inamaana kwa lisaa ni magari 10
C. Muhimbili ni 4 kwa lisaa
D. Kivukoni ni 7 kwa lisaa
E. Morocco ni 7 kwa lisaa
F. Mbezi mwisho hapo kila baada ya robo saa yanakuja 3 hivyo kwa lisaa ni magari 12

Tunaanza kukokotoa
MBEZI
hapa ni 400 nauli Times 65 Idadi ya watu Times 12 magari ni sawa na 312,000 kwa lisaa inamaana kwa masaa 12 ni 3,744,000/=

KIMARA
hapa panahesabiwa mara mbili yanayopakia kwenda mjini na kwenda mbezi
a) yaendayo mjini
650 nauli times 65 idadi wanaokuwamo times 24 idadi ya magari ni 1,0140,000/= kwa lisaa inamaana kwa masaaa 12 ni 12,168,000/=
b) Yaendayo mbezi ni 400 times 65 times 12 times masaa 12 ni 3,744,000/=
jumla kuu ya Mbezi ni 15,912,000/=

MOROCCO
650 Times 7 magari Times 65 wasafiri ni 295,750 kwa lisaa
hivo kwa masaa 12 ni 3,549,000/=

MUHIMBILI
650 Times 65 times 4 kwa lisaa 169,000
inamaana kwa masaa 12 ni 2,028,000/=

GEREZANI
650 TIMES 65 TIMES 10 ni 422,500/= kwa lisaa inamaana kwa masaa 12
ni 5,070,000/=

KIVUKONI
650 TIMES 65 TIMES 7 TIMES 12 HOURS NI
3,449,000

JUMLA KUU NI 33,852,000/= KWA SIKU INAMAANA KWA WEEK SIKU 7 NI 236,964,000 KWA MWEZI YAAN SIKU 30 NI 1,015,560,000 KWA MWAKA NI 12,186,720,000 BILION 12 NA USHEE

Put in mind kwamba sijahesabu wanaopandia vituo vya kati kati kama Fire , Usalama , Argentina , Fire, Ubungo,

pili wasafiri wanajaa mpaka 80 kwenye magari mengine,



MATUMIZI AU OPERATING COSTS TUSAIDIANE KUZIANGALIA LAKIN NIMESIKIA SEHEM KWAMBA GHARAMA ZA UENDESHAJI NI
Mafuta kwa mabasi haya an average fuel consumption of 25.4 litres/100 km “ (from Scania's site) kwahiyo km 1 ni sawa na litre 0.245 hivo ukiangalia kwa siku basi moja linaweza piga route ya kimara kivukoni almost mara 4 ambapo ni kilometa kama 10 kutoka kimara kwenda kivukoni kwa kwenda na kurudi mara 4 tuseme km 80 mpaka 110 kila siku kwa kila basi na yapo mabasi 50 yanayofanya routes hizo inakuwa litre 30 mara 50 idadi ya mabasi yafanyayo ruti kwa siku yaan 1500 liters kwa siku kwa mabasi yote inamaana kwa mwezi ni 1500 times 30 days sawa na 45,000lita hivyo gharama ya diesel litre moja ni 2350 zidisha na 45,000 sawa na 105,750,000 kwa mwezi gharama ya mafuta.

mantainace hapa nilielezwa ni 80,000,000 mpaka 100,000,000 kwa mwezi

mishahara ni shiing 500,000 kwa mwezi kwa madereva 62 sawa na 31,000,000/=
mishahara ya wakata ticket 300,000 averagely sawa na 70 mara 300,000 jumla ni 21,000,000
matumizi jumla kwa mwezi ni 105,750,000+80,000,000+31,000,000+21,000,000 = 90,600,000/=
MATUMIZI JUMLA 237,750,000
MAPATO NI 1,015,560,000
FAIDA NI 777,810,000/=


JE IPO SIKU TUTASIKIA KWAMBA SHIRIKA LINAENDESHWA KWA HASARA?? NA IPO SIKU WATATAMANI WAONGEZE NAULI IFIKE 1000 ILI KUFIDIA HASSARA?
Britanicca
hahahahaaaaaaaa!!!!!, kwenye mafuta tu hapo umeniacha hoi ndembendembe!!!!!!
 
Back
Top Bottom