umewahi kusoma management? je, makubaliano yeyote ya kiofisi yanaweza kufikiwa bila mkuu waofisi kuidhinisha ?Bunge halijakataa kufanya kazi na ofisi ya CAG
Bunge linaiheshimu saana hio taasisi ya kitaifa
Isipokuwa bunge limepitisha muswada wa kukataa kufanya kazi na Pr Asaad kama yeye mwenyewe♂️