Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,006
- 1,171
Habari mkuu,
Naomba nikujulishe moja ya sababu ya biashara nyingi kukwama.
Kiukweli yapo mengi yanayochangia kutokuendelea kwa biashara nyingi na majawapo Ni Mfumo bora na Mfumo sahihi.
Vile vile kukosa mfumo inapelekea biashara nyingi kufa au kufungwa baada mwanzilishi kuondoka au kupata matatizo na hivyo kupeleka warithi kutokujukua kinachoendelea.
Ipo mifumo isiyo rasmi na mifumo rasmi sahihi ya kisasa na kidigital Kama ambayo napenda kukueleza rafiki
Kwa upande wetu tunahusika Kubuni kutengeneza na kuunganishia wafanyabiashara na WATOA HUDUMA mifumo Bora na ya kisasa kabisa, ambayo unaweza kunitumia kwenye computer au smartphone yako popote nchini.
Baadhi ya mifumo tuliyonayo
1. Mfumo wa Kusimamia mauzo kuanzia manunuzi ya stock mauzo ya bidhaa zote , kufunga mahesabu kila siku na kutoa ripoti ya kila siku wiki mwenzi hata mwaka
Huu unafaa kwa Maduka ya Aina zote jumla na reja reja
2. Mfumo wa Hospital, zahanati, clinic na vituo vya Afya
Huu Ni kuanzia mapokezi triage consultation investigation Pharmacy na Ipd na kuandaa ripoti zote za kituo na mahesabu yake
3. Mfumo wa maabara binafsi
Huu pia unahusisha triage reception phlibotomy process na report zote
4. Mfumo wa Pharmacy na Duka la dawa muhimu
Huu Ni Mfumo mzuri Sana una manage stock yako ya dawa na mauzo yake , pia inakualert dawa zinazokaribia kuisha au kuexpy
Mifumo yote hii unaweza kufuatilia biashara yako na mahesabu yake hata ukiwa nje ya Eneo la biashara
Hii Mifumo yote unaunganishiwa bure na kupewa mwenzi mmoja free. Kisha utaanza kulipia kwa mwenzi ambayo wastani wa chini Ni shilingi Mia tano 500/= tu kwa siku kulingana na Aina ya Mfumo.
Karibu Sana tukuwezeshe usimamie na uendeshe biashara yako kisasa na kidigital
Mawasiliano
Piga sms au nitext WhatsApp
0613584570
Naomba nikujulishe moja ya sababu ya biashara nyingi kukwama.
Kiukweli yapo mengi yanayochangia kutokuendelea kwa biashara nyingi na majawapo Ni Mfumo bora na Mfumo sahihi.
Vile vile kukosa mfumo inapelekea biashara nyingi kufa au kufungwa baada mwanzilishi kuondoka au kupata matatizo na hivyo kupeleka warithi kutokujukua kinachoendelea.
Ipo mifumo isiyo rasmi na mifumo rasmi sahihi ya kisasa na kidigital Kama ambayo napenda kukueleza rafiki
Kwa upande wetu tunahusika Kubuni kutengeneza na kuunganishia wafanyabiashara na WATOA HUDUMA mifumo Bora na ya kisasa kabisa, ambayo unaweza kunitumia kwenye computer au smartphone yako popote nchini.
Baadhi ya mifumo tuliyonayo
1. Mfumo wa Kusimamia mauzo kuanzia manunuzi ya stock mauzo ya bidhaa zote , kufunga mahesabu kila siku na kutoa ripoti ya kila siku wiki mwenzi hata mwaka
Huu unafaa kwa Maduka ya Aina zote jumla na reja reja
2. Mfumo wa Hospital, zahanati, clinic na vituo vya Afya
Huu Ni kuanzia mapokezi triage consultation investigation Pharmacy na Ipd na kuandaa ripoti zote za kituo na mahesabu yake
3. Mfumo wa maabara binafsi
Huu pia unahusisha triage reception phlibotomy process na report zote
4. Mfumo wa Pharmacy na Duka la dawa muhimu
Huu Ni Mfumo mzuri Sana una manage stock yako ya dawa na mauzo yake , pia inakualert dawa zinazokaribia kuisha au kuexpy
Mifumo yote hii unaweza kufuatilia biashara yako na mahesabu yake hata ukiwa nje ya Eneo la biashara
Hii Mifumo yote unaunganishiwa bure na kupewa mwenzi mmoja free. Kisha utaanza kulipia kwa mwenzi ambayo wastani wa chini Ni shilingi Mia tano 500/= tu kwa siku kulingana na Aina ya Mfumo.
Karibu Sana tukuwezeshe usimamie na uendeshe biashara yako kisasa na kidigital
Mawasiliano
Piga sms au nitext WhatsApp
0613584570