Wanabodi nimeshawishika kuuliza hivi kutokana na maendeleo waliyonayo hawa mabwana pamoja na uwezo mkuu walionao katika kufanya mambo kwa usahihi kabisa, kwanza kitu chochote kilichotengenezwa na mjerumani ni kitu chenye thamani Kubwa sana, uwezo wake kijeshi na jinsi alivyojaribu kuitawala dunia mara mbili, jinsi anavyowabagua hata weupe wenzake na mambo mengine mengi yanayofanywa na mjerumani yanaonyesha yupo tofauti na watu wote duniani.
Babrosa umekurupuka mama. Ikulu ya magogoni ni ujenzi wa mjerumani.. lakin mpaka leo jengo liko strong. Wajeruman bidhaa zao.ni imara sana, Dunia inajua.. labda kama ww hujawahi tu kutumia..Sema umependa tu usitake kuleta mambo mengine kuna mwingine aliyependa Mzungu wake wa USA atesema hivyo hivyo, mwingine kazimia kwa Mjapani atasema pia kama wewe kuna mwingine kafa kazikwa kwa Mchina, ni nguvu ya mapenzi tu inakusukuma!
Babrosa umekurupuka mama. Ikulu ya magogoni ni ujenzi wa mjerumani.. lakin mpaka leo jengo liko strong. Wajeruman bidhaa zao.ni imara sana, Dunia inajua.. labda kama ww hujawahi tu kutumia..
Hehehe brother wewe ndio hujui. angalia magari anayotengeneza mjerumani.. angalia vifaa vya kijeshi anavyotengeneza mjerumani.Lkn kiteknolojia wapo nyuma ya China, USA, Russia
Si mahaba.. bali kazi zao zinaonekana wazi...Ni mahaba tu yanakusumbua ukienda Kenya watakwambia hivyo hivi khs Waingereza, ukienda Msumbiji watesema kama ulivyosema khs Wareno, ukifika Asmara Eritrea wanamsifu Muitaliano kama Mungu!
Si mahaba.. bali kazi zao zinaonekana wazi...
Wanaonyesha kwa vitendo na si porojo.
Watu wa mwanzoni kabisa kuchallenge utawala wa kirumi (roman empire)ni wajerumani..wanakabila lao linaitwa "gala"Warumi (italy) wametawala dunia zaidi ya karne nzima hao mabwege ata kuwa super power hawajawahi kuwa, mimi nilifikiri unazungumzia urusi au marekani
embu tuanzie apa kweny teknolojia ya ndege za kivita ivi German fighter jet zake ni zip nisaidie niweze kuzi fahamu maana mara nyng nasikiaHehehe brother wewe ndio hujui. angalia magari anayotengeneza mjerumani.. angalia vifaa vya kijeshi anavyotengeneza mjerumani.
Eti yuko nyuma.. mchina hatoboi pale.. america wenyewe ni wanakaribia tu.
Unajua next gen za ndege mpya za kivita za america. Design yake ilitoka ujerumani?
Sasa aliens ni nani mbona unajichanganya? Mara unasema mjerumani alien, mara muamerika anawasiliana na aliens!Acha mambo yako USA tek
nolojia yote mpaka ya kuwasiliana na aliens kaipata kwa mjerumani, unaambiwa ujerumani sio taifa la hapa mpaka kuitisha mkutano wa Berlin sio hivi hivi.