Je unajua wakerewe ni watu wa kwanza kuishi ujerumaniWatu wa mwanzoni kabisa kuchallenge utawala wa kirumi (roman empire)ni wajerumani..wanakabila lao linaitwa "gala"
Je unajua wakerewe ni watu wa kwanza kuishi ujerumaniWatu wa mwanzoni kabisa kuchallenge utawala wa kirumi (roman empire)ni wajerumani..wanakabila lao linaitwa "gala"
daa...mkuu umetisha.Nasikia wao ndio waligundua kula rambirambi na wewe nahisi ni jemani shafadi
Hahahahaaadaa...mkuu umetisha.
Umesema sahihi kabisaTo be honestly wajerumani wapo vizuri na hawana mbwembwe imagine ndo nchi yenye uchumi mkubwa na miundombinu bora kuliko any other european country , jamaa wapo vizuri kila mahal , imagine mfano kwenye footballwana academy za kuzalisha vijana zaa kutosha na zenye kutoa matokeo mazuri ikumbukwe hawakufanya vizur kwenye kombe la dunia much ndan ya miaka ya 2000 xo mpaka wanakuja kuchukua kombe la dunia 2014 brazil ni uwekezaji mkubwa xana xo tuache maneno yetu tuliyorithishwa na waingereza maneno ya mbwembwe , unafiki mwingi , mipango hewa na meng mengine ,,,, iwish ningekua mjeruman coz nina element zao ,
Hiv unawezaje kujenga jamii ikawa na huo uwezo Wa intelligence kubwa kichwani . huenda na bongo tujifunze hiiWajerumani si Aliens bali ni moja ya jamii inayoangoza ULAYA kwa watu wake kuwa na INTELLIGENCE {uwezo mkuwa wa ufahamu na maarifa} kama zilivyo jamii za ASIA za Koreans na Japanese
Hitler kawasaidia sana, kawapa misingi mizuri kiasi kwamba mpaka leo hawajatetereka!!To be honestly wajerumani wapo vizuri na hawana mbwembwe imagine ndo nchi yenye uchumi mkubwa na miundombinu bora kuliko any other european country , jamaa wapo vizuri kila mahal , imagine mfano kwenye footballwana academy za kuzalisha vijana zaa kutosha na zenye kutoa matokeo mazuri ikumbukwe hawakufanya vizur kwenye kombe la dunia much ndan ya miaka ya 2000 xo mpaka wanakuja kuchukua kombe la dunia 2014 brazil ni uwekezaji mkubwa xana xo tuache maneno yetu tuliyorithishwa na waingereza maneno ya mbwembwe , unafiki mwingi , mipango hewa na meng mengine ,,,, iwish ningekua mjeruman coz nina element zao ,
Kama wewe unavyoipenda ccm wakati ni chama cha magaidi.Ndiyo maana nikasema ni swala la mahaba tu, kipendacho roho!
Ila katika utawala wao upinzani mkubwa walikuwa wanaupata kutoka kwa wajerumaniWarumi (italy) wametawala dunia zaidi ya karne nzima hao mabwege ata kuwa super power hawajawahi kuwa, mimi nilifikiri unazungumzia urusi au marekani
Mjeruman alikuwa zamani vitu vyake vya zamani vilikuwa na thamani kubwa kwa sasa hivi hana kitu cha maana.Wanabodi nimeshawishika kuuliza hivi kutokana na maendeleo waliyonayo hawa mabwana pamoja na uwezo mkuu walionao katika kufanya mambo kwa usahihi kabisa, kwanza kitu chochote kilichotengenezwa na mjerumani ni kitu chenye thamani Kubwa sana, uwezo wake kijeshi na jinsi alivyojaribu kuitawala dunia mara mbili, jinsi anavyowabagua hata weupe wenzake na mambo mengine mengi yanayofanywa na mjerumani yanaonyesha yupo tofauti na watu wote duniani.