Je waijua nguvu ya mvua kiroho?

Je waijua nguvu ya mvua kiroho?

Aisee hii haiwachoshi?

Maana jukwaa zima mnazunguka na hoja hii hii bahati mbaya au nzuri neno ”Mungu” inawezekana ndilo neno linaandikwa sana hapa kwa siku.
Kuchosha au kutochosha sio tatizo wewe Thibitisha tu nafuata leo hii.
 
Kuchosha au kutochosha sio tatizo wewe Thibitisha tu nafuata leo hii.
KAma umegundua wote mlioanza nao race hii ya Mungu yupo au hayupo wameshawapuuza wakikutana na maswali yenu wanadharau wanapita.

Nithibitishe ili ufuate mkuu?kwa manufaa gani nitapata?ya kwangu mwenyewe sijayamaliza😂😂😂
 
KAma umegundua wote mlioanza nao race hii ya Mungu yupo au hayupo wameshawapuuza wakikutana na maswali yenu wanadharau wanapita.

Nithibitishe ili ufuate mkuu?kwa manufaa gani nitapata?ya kwangu mwenyewe sijayamaliza😂😂😂
Unapata manufaa ya kuonyesha Mungu wako ni wa kweli kwa sababu hata vitabu vyenu vinawahimiza mumkiri yeye na kumshuhudia popote.
 
Unapata manufaa ya kuonyesha Mungu wako ni wa kweli kwa sababu hata vitabu vyenu vinawahimiza mumkiri yeye na kumshuhudia popote.
Sure,umesema sawa kabisa!

Uzuri Mungu ni wangu vitabu ni vyetu vinatuhimiza sisi tulioamini tumkiri yeye so nadhani hii ni issue personal kidogo kitachonitatiza mimi ni wewe Mungu siyo wako hamna vitabu vyenu vilinavyowahimiza mumkiri yeye kuhangaika nae.
 
Sure,umesema sawa kabisa!

Uzuri Mungu ni wangu vitabu ni vyetu vinatuhimiza sisi tulioamini tumkiri yeye so nadhani hii ni issue personal kidogo kitachonitatiza mimi ni wewe Mungu siyo wako hamna vitabu vyenu vilinavyowahimiza mumkiri yeye kuhangaika nae.
Kama unataka nikusaidie kwanza ujue Mungu hayupo wala hajawahi kuwepo .
 
Kama unataka nikusaidie kwanza ujue Mungu hayupo wala hajawahi kuwepo .
Sina shida sasa ya huduma hii yako kama wewe ulivyokuwa huna shida na huduma yangu ya kutaka kukufahamisha uwepo wa Mungu.

Hii imekaaje?ukitoka nje ya box la ubishi utagundua imekaa vyema maana wewe hutakerwa member yeyote humu akitamka Mungu.
 
Sina shida sasa ya huduma hii yako kama wewe ulivyokuwa huna shida na huduma yangu ya kutaka kukufahamisha uwepo wa Mungu.

Hii imekaaje?ukitoka nje ya box la ubishi utagundua imekaa vyema maana wewe hutakerwa member yeyote humu akitamka Mungu.
Mungu hayupo wala hajawahi kuwepo huu ni uhuni tu unaowatafuna kuzazi cha leo japo wengi wameanza kujitambua🤔
 
Mungu hayupo wala hajawahi kuwepo huu ni uhuni tu unaowatafuna kuzazi cha leo japo wengi wameanza kujitambua🤔
Anha!

Basi hii tuiache ibaki hivi kama kila mmoja wetu ataridhika na anaona kwa kuamini yupo au hayupo hapotezi kitu.
 
Mungu hayupo wala hajawahi kuwepo huu ni uhuni tu unaowatafuna kuzazi cha leo japo wengi wameanza kujitambua🤔
Kaka,Sio kila jambo linaonekana kwa macho ila tunatumia hisia katika kutambua uwepo wake.

Una amini katika sayansi je,unaweza kunithibitishia Energy?kani ya mvutano inayosababisha earth quake?Unaweza kuonesha nguvu kwa macho yako?

Kuna maneno kama hisia,huzuni yapo lengo kuwakilisha hali fulani ndani ya miili yetu,na sisi tunaamini kuwa hakuna kinachoishi posipo miliki dunia na vilivyomo ndani yake na jinsi vinavyofanya kazi hesabu zake ujue vinaenda sambamba na kupangiliwa,je utabaki nadharia za bing bang theory au Cosmology theory?

Mungu yupo na atazidi kuwepo.
 
Kaka,Sio kila jambo linaonekana kwa macho ila tunatumia hisia katika kutambua uwepo wake.

Una amini katika sayansi je,unaweza kunithibitishia Energy?kani ya mvutano inayosababisha earth quake?Unaweza kuonesha nguvu kwa macho yako?

Kuna maneno kama hisia,huzuni yapo lengo kuwakilisha hali fulani ndani ya miili yetu,na sisi tunaamini kuwa hakuna kinachoishi posipo miliki dunia na vilivyomo ndani yake na jinsi vinavyofanya kazi hesabu zake ujue vinaenda sambamba na kupangiliwa,je utabaki nadharia za bing bang theory au Cosmology theory?

Mungu yupo na atazidi kuwepo.
Kwa hayo maandishi yako tu naelewa quantum science vilivyo tu Kiranga
 
Sawa' Mmungu kwenye quran anasena "
Qur'an:
“Hakika katika kuumbwa kwa mbingu na ardhi, na mabadiliko ya usiku na mchana, zipo ishara kwa wenye akili.”
— [Qur’an 3:190]
👆Mwisho anamalizia kwa wenye akili hivyo napata wasi wasi kua kama kweli wewe unaakili sawa sawa kutoziona ishara za kuwelo kwa mungu
Hakika
 
Back
Top Bottom