Je waijua nguvu ya mvua kiroho?

Je waijua nguvu ya mvua kiroho?

Halafu Waafrika wengi hatujui kuwa hatujui, na tunapenda sana kujimwambafy kuwa tunajua.

Au pengine hatujali kama tunajua au hatujui, tunarahisisha tu kuwa earthquakes zinasababishwa na kani ya uvutano.
kani ya mvutano ni kitu chengine,earth quake ni inshu ya compressional and tensional force usije kunizania mimi ni mbulula kama wengine.

najua nachokwambia,na huo ujinga wako wa kutojikubali eti waafrika bra bra hivi we ni mzima wa akili?
 
Halafu Waafrika wengi hatujui kuwa hatujui, na tunapenda sana kujimwambafy kuwa tunajua.

Au pengine hatujali kama tunajua au hatujui, tunarahisisha tu kuwa earthquakes zinasababishwa na kani ya uvutano.
usiforce ujinga wako wa kupinga mungu ukawaambukiza watu wengine ujinga huo,kama unavyoona wanaoamini katika mungu hawana uhuru the same you haupo katika uhuru.


Nakazia mungu yupo mmoja na hakuna mfano,na atakuwepo..
 
kani ya mvutano ni kitu chengine,earth quake ni inshu ya compressional and tensional force usije kunizania mimi ni mbulula kama wengine.

najua nachokwambia,na huo ujinga wako wa kutojikubali eti waafrika bra bra hivi we ni mzima wa akili?
"Inshu" ni nini wewe ngumbaru?
 
usiforce ujinga wako wa kupinga mungu ukawaambukiza watu wengine ujinga huo,kama unavyoona wanaoamini katika mungu hawana uhuru the same you haupo katika uhuru.


Nakazia mungu yupo mmoja na hakuna mfano,na atakuwepo..
Wewe ndiye unajamba halafu unanilaumu mimi?

Sijataja Mungu, unaninukuu na kuniambia nisiforce habari za Mungu?

Nakupeleka ignore list, kuanzia hapa sitaona unachoandika.

Na wewe unaweza kufanya hivyo hivyo.
 
kani ya mvutano ni kitu chengine,earth quake ni inshu ya compressional and tensional force usije kunizania mimi ni mbulula kama wengine.

najua nachokwambia,na huo ujinga wako wa kutojikubali eti waafrika bra bra hivi we ni mzima wa akili?
Mnapoteza Nguvu kubwa sana kujadiliana na Watu ambao walitakiwa wawe hodi za wagonjwa wa Akili na sio hapa jf.

Kitabu kisicho na shaka kimeshaelekeza ni nani mwenye Akili na nani hana na utamtambuaje.

Mimi nimewapa ofa anaebisha kwamba wanaopinga uwepo wa Mungu ni wagonjwa wa Afya ya Akili nawalipia vipimo Hospitali yoyote watayoichagua na majibu tutaya Attach hapa jf.
 
Back
Top Bottom