Je, Waafrika bado wanahitaji wasaidiwe/wajengewe misikiti na makanisa na siyo viwanda,mashule na mahospitali kwa wakati huu?

Je, Waafrika bado wanahitaji wasaidiwe/wajengewe misikiti na makanisa na siyo viwanda,mashule na mahospitali kwa wakati huu?

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
2,691
Reaction score
2,303
Tuache unafiki wa kiafrika pembeni,

Je, Waafrika bado wanahitaji wasaidiwe au wajengewe misikiti na makanisa na siyo viwanda,mashule na mahospitali kwa wakati huu?
 
Ni waislam ndio huombaomba wajengewe misikiti, wakristo kuomba wajengewe kanisa itabidi ujenge makanisa kila dhehebu, wao hujenga wenyewe kwa kujichangisha kila dhehebu. Mind kuwa siku hizi hakuna misaada ya wamisionari wazungu waliokuwa wanajenga makanisa, ukimpata basi atakuwa mmisionari wa kujitegemea hela yake mwenyewe amejichanga au amechangiwa na marafiki zake huko kwao ila hana chama wala shirika la kimisionari toka ulaya na amerika. Misikiti ndiyo inayojengwa sana nyakati hizi. Mara msikiti wa mohamed wa 6, mara msikiti wa ghadafi, sijui msikiti wa nani. Wapi makanisa yanajengwa ukiacha machache ya wakatoliki, walutheri na waanglikana? Wengine ni mwendo wa mahema, magodauni na magofu ya majumba makubwa
 
Mkuu unafiki wa Kiafrika ndio upi huo?



Je, Waafrika bado wanahitaji wasaidiwe au wajengewe misikiti na makanisa na siyo viwanda,mashule na mahospitali kwa wakati huu?
  1. Waafrika hawahitaji wasaidiwe kujenga chechote kile.
  2. Sio misikiti na wala sio makanisa
  3. misikiti na makanisa ni kwaajili ya kulainisha ubeberu tu


Viwanda, shule na mahospitali yalikuwepo kitambo, yanahitaji kuthaminiwa na kuboreshwa
 
🤣🤣😂
 
Back
Top Bottom