Je, Viongozi wa Idara ambao ni Wachagga waachie ngazi!??

Status
Not open for further replies.
Let me state at the outset that I am a Nyakyusa, kabila la wala ndizi kama Wachagga, Wahaya na wengineo.

Tujiangalie sana tunapojadili jambo hili kuhusu ukabila. Lawama kutoka kwa wananchi fulani wanaosema Wachagga, au Wachaga, wanatunyonya kama kupe haina msingi wowote.

Hawa ni ndugu zetu. Wamefanya kila jitihada kujiendeleza kwa miaka mingi sana hata kabla ya uhuru wa nchi yetu iliyokuwa inaitwa Tanganyika.

Nani walimpiga mrija na kumfyonza damu walipofanikiwa kupata elimu kabla ya Watanzania wengi kutimiza lengo hilo?

Ni makabila gani waliyoyanyonya na kuyakandamiza walipofanikiwa kuwa na maendeleo kule Kilimanjaro kabla ya mikoa mingine nchini Tanzania?

Nani aliwazuia watu wa makabila mengine kujenga shule kama Wachaga walivyojijengea shule katika mkoa wao?

Nani aliwazuia watu wa makabila mengine kwenda shuleni?

Kwanini Wachaga wameweza kupata elimu ya juu kuliko makabila mengi nchini Tanzania?

Kwanini wamefanikiwa kibiashara na kuchuma fedha sehemu zote za taifa letu kuliko watu wengi wa makabila mengine?

Mnataka Wachaga waache kusoma shule ili wasifanikiwe maishani?

Mnataka Wachaga waache kufanya biashara ili raia wote tuwe sawa katika umaskini?

Mnataka Wachaga waangamie?

Wamefanya nini, hawa ndugu zetu Wachaga, kustahili chuki ya aina hii?

Tangu lini katiba yetu imesema ili kuwa na taifa moja, ni lazima makabila yetu yaishi sehemu zao, yatengane, na kwamba Wachaga, Wanyakyusa, Wahaya na watu wa makabila mengine hawana haki kuhamia na kuishi na kufanya biashara sehemu mbali mbali za Tanzania?

Tumesahau Mwalimu alipotuonya kwamba tukiendelea na ubaguzi huu na kuwalaumu Wachaga, Wahaya na Wanyakyusa, taifa letu litakwisha na tutaanza kupigana na kuuana. Alivyosisitiza, ni upuzi na ukabila wa aina hiyo "which led to the establishment of Biafra," a point he underscored in his radio broadcast to the nation in September 1968 a few months after Tanzania recognised Biafra as an independent nation in April that year, the first country to do so; the late Chediel Mgonja, who was then minister of state for foreign affairs, made the official announcement.

Kama kuna Watanzania wengi wanaowachukia Wachaga, mnataka wajitenge? Watakuwa na haki kufanya hivyo na kuwa na nchi yao.

And if they do so, please, please, don't do anything to impede their progress by denying them access to the sea or by trying to choke off their landlocked nation. Leave them alone so that they can continue to thrive in their homeland - the Republic of Kilimanjaro or Chaggaland or whatever they want to call it.

Ndiyo maana ni muhimu katiba yetu pamoja na katiba zote katika bara letu ziwe na provisions ambazo zinawaruhusu watu wanaobaguliwa kuwa na nchi yao - the right to self-determination. Let them go. The same applies to Zanzibar. Kama the majority of Zanzibaris - for whatever reason - hawataki kubaki katika muungano and have demonstrated their wish in a referendum or plebiscite to pull out of the union, fine, - let them go!

Thank God, the vast majority of Tanzanians don't feel that way: that discrimination is right, and that tribalism should be institutionalised as a national virtue as it has been in Kenya since - and even before - independence despite claims to the contrary by some Kenyans.

We are the only country in Africa with a reputation of having virtually conquered tribalism in spite of the fact that we have one of the largest numbers of tribes or ethnic groups on the continent and are also one of only four countries with more than 100 - the others being Nigeria, the Democratic Republic of Congo (DRC), and Cameroon.

I hardly post anything here. I am just an interested observer. But my conscience won't let me rest and I have decided to write something in response to what I consider - as many people do - to be a vicious campaign against the Chagga on this forum and elsewhere. And it's nothing new in Tanzania and among Tanzanians elsewhere concerning the Chagga.

There seems to be a concerted effort by a number of unscrupulous individuals to whip up sentiments against the Chagga in an attempt to mobilise forces against them, portraying them as villains who have been able to forge ahead at the expense of their fellow countrymen - and women.

The Nyakyusa and the Haya have been hammered the same way, although in varying degrees. More often than not, the primary target seems to be the Chagga.

The sledgehammer that's being wielded and used against the Chagga - and to a somewhat smaller degree against the Haya and the Nyakyusa but sometimes just as viciously by a few individuals - is the same lethal weapon Hitler used in his diabolical campaign to exterminate six million Jews.

It's also the same weapon the Hausa-Fulani used against the Igbo in Northern Nigeria, leading to pogroms in which more than 50,000 Igbos were massacred in different parts of Northern Nigeria within three months in 1966 alone - between July and September - and eventually to the death of about 2 million of them by the time the Nigerian civil war ended on 12 January 1970 - officially on January 15th when the seccesionist forces of Biafra were forced to surrender to federal might after they were viciously pounded into submission by Nigerian federal troops of an army division led by Olusegun Obasanjo, a Yoruba from the Western Region, who later became the military head of state and then civilian president of Nigeria.

It's also the same weapon, stoking embers of hatred against a targeted group, which led to genocide involving the extermination of about 1 million Tutsis in neighbouring Rwanda in 1994 at the hands of the Hutu, and to the massacre of about 500,000 Hutus in Burundi by the Tutsi since 1993, without even counting the 100,000 Hutus who were wiped out by the Tutsi in Burundi in 1972 and 1973.

It's also the same weapon members of different ethnic groups have used against each other with unconstrained fury in neighbouring Kenya with tragic consequences; also the same weapon the Zulu used against the Xhosa and vice versa in South Africa in the early 1990s when more than 10,000 people were killed just before the diabolical institution of apartheid came tumbling down.

And it can happen right here in Tanzania if we are not careful about that.

Kuna watu wanaosema kusudi la mjadala huu wa swala hili kuhusu Wachaga ni kusisitiza kwamba kila Mtanzania ana haki zote kama wananchi wenzake.

I'm skeptical of that. It's just a clever way of trying to hide one's ulterior motives which include fostering and fuelling tribal sentiments against the Chagga and members of other tribes who are accused of thriving at the expese of their fellow countrymen.

But having said all that, haimanishi kwamba hatuna ukabila - kabisa au hata kidogo - nchini Tanzania. Kuna ukabila, but not of the virulent kind that's prevalent in Kenya. And we should admit that there are tribalists in every tribe.

Tukiendelea kukaa kimya ingawa tunajua ukweli kuhusu ukabila wa wenzetu katika makabila yetu, taifa letu halitakwenda popote. Huo ni ukabila, na tutajiangamiza wenyewe na ukabila wetu.

Hakuna Mchagga anayesema ukweli ambaye atakana ukimwambia kwamba kuna Wachagga ambao wana ukabila sana. Hakuna Mnyakyusa, Mhaya, Mgoni, Mhehe ambaye atakana hilo - kwamba kuna watu katika kabila lake ambao wana ukabila sana. Kuna ukabila katika makabila yote. Tatizo ni kuwalaumu watu kutoka makabila machache - hasa Wachagga, Wahaya na Wanyakyusa - kwamba ndiyo hao tu wenye ukabila nchini hapa Tanzania au kwamba ndiyo hao ambao wanawanyonya na wanawakandamiza wananchi wenzao.

Kitu ambacho nasisitiza hapa ni kwamba tupambane na ukabila wa kila aina kama tulivyopambana na ukoloni na kama tulivyowasaidia ndugu zetu nchi za Afrika kusini katika vita vyao vya ukombozi ambavyo pia vilikuwa ni vita vyetu kama Wafrika - kwani sisi sote Wafrika ni "ndugu moja" - (si Kiswahili cha Wahindi tu!)

Kama TANU creed ilivyosisitiza tulipoanza kugombea uhuru, Afrika ni moja na Wafrika wote ni ndugu zangu.

And practise what you preach.

Tumeishi kwa amani bila kuchapana mapanga, kupigana virungu na kuchomana visu tangu tulipopata uhuru. Hata kabla ya uhuru, watu wa makabila mbali mbali katika nchi yetu waliishi pamoja bila kumwaga damu. Lakini ikiwa hatujitahadhari, that's exactly where we are headed.

God forbid!

Ukabila ni balaa. Na tunaposema Mungu ibariki Tanzania, we should mean it. Hatuwezi kufanya hivyo ikiwa tumejaa chuki ya ukabila. Wachagga ni ndugu zetu. Sisi sote ni ndugu moja.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Wajameni acheni kuwapiga vita wachaga!!!! Wao walikubali kusoma tena yale masomao ambayo wengi wetu tunaona ni magumu, mfano Science and Maths!!!! Hapa sipingi kuwa kuna wachaga pia waliosoma HGL, HKF, HGK,etc!!! Kwa michepua yote walijitahidi na hawakuogopa umande au baridi!!! Mapato ya kahawa yalifanya kazi yake!!! Mapato ya ndizi, pombe ya mbege (sizungumzii komoni, denge, piwa a.k.a gongo, dadi et al..) na mahindi yalifanya kazi yake. Kazi hiyo kubwa ni kuwasomesha watoto wao!!!! Baba na mama watavaa nguo moja ili mradi watoto wao wasome!!!! Je huku kwetu uswahilini si tunafanya mashindano ya kununua vitenge na sherehe za midundiko!!!! Si tuhahakikisha lazima watu wale na kuvimbiwa, kukesha ngoma n.k wakati tunacheza watoto wetu???? Je tunakumbuka kuna mtoto hajalipiwa ada???? Wenzetu wachaga walijua adui wa maendeleo ni ujinga!!! Hivyo, tuache wivu na tujifunze kutoka kwa Wachaga.

Naona na Mkuu wa nchi, hataki kuwateua wachagga katika nyadhifa mbalimbali na kwa mantiki hiyo atayumba sana bila wachaga.!!!! Take it from me!!!Mchaga akiishika ofisi inayozalisha anahakikisha anazalisha ili naye apate!!! Haui ofisi!!!! Yaani ni kwamba anaitumia ofisi vema katika kuweka mambo yake sawa na ya mwajirii pia ili asije akakosa kazi!!! Wachaga ni wachapa kazi!!!!

Nimeona hata rafiki zangu waliooa wachaga, wako mbele sana kimaendeleo!!!! Jambo la kwanza kama ukioa mchaga na bado hujajenga ni lazima utajenga tu!!!! Wanapenda kujitegemea!! Wanawake wa kichaga hawana mashindano ya kununua kanga na vitenge, kwanza wengi wao hawajui hata kufunga kanga, si jadi yao. Hivyo machaga mwanaume kwa mwanamke ni vyombo vya maendeleo. Wasiotaka kulitambua hilo na wameze wembe, waachane na majungu hayo.

Namshauri mkuu wa nchi abadili mtizamo wake na awateue wachaga kushika nyadhifa, ataona mabadiliko. Akiendelea kuwateua ma classmate wale maswahiba kwa udini na ukabila ngoma itamdodea kwa mara nyingine tena. Nampa pole nchi inakwenda mrama sasa.

Halafu hata katika sakata la EPA wachaga pale ni wangapi???? Tunaposema jambo tutoe na data pia. Richmond wachaga wangapi??? Deep Green wachaga wangapi?? Rada wachaga wangapi?? na mengine mengi ambayo unayafahamu. Tusipende kuharibu majina ya wachapa kazi tu eti kwa kuwa mmoja ametenda kosa. Tuwe objective, please!!!

Nawapa wachaga big up and keep it up. Forward ever, backward never!!!
 
Sijui umri wako lakini nadhani unazeeka vibaya ---- mwishowe utasema hata kwenye jamii forum kuna wachagga ....... Haha !!!!!!
 
kadri wachagga wanavyozidi kubaguliwa ndio kadri wanavyozidi kuendelea mfano- mkoa wa kilimanjaro serikali haijengi shule, ila michango ya wananchi ndio inajenga shule, mahakama hazikarabatiwi (kwa hili wachaga wanaliangalia tu), ni mkoa pekee ambao waindi wameshidwa kufanya biashara kwa ajili wenyeji ni wafanyabiashara, hata Arusha imeendelea kutokana na wachaga wengi ambao wanaona ukifanya biashara arusha ijumaa jioni unaweza kwenda rombo,mchame marangu nk na kurudi jumatatu. ccm wanafanya njama za kukiua chadema na kusema ni chama cha wachaga. Jamani ukitaka kuwa daktari inabidi usome sasa sisi makabila mengine hatumbeni kusoma tunataka tupewe udokta mezani. wachagga wanatabia ya biashara hata ma dr wamefungua hospitali zao wenyewe.
wapemba wangekua kama wachaga kama wangekua wanapenda shule ila wao ni maduka tu.
jamani hata wachaga ndio wanamiliki baa nyingi hata hii nayo nikupendelewa.

hii ni stori ya upanga muhimbili - mchaga anatoka kijijini , unamuona anajenga duka lake la mbao, anauza mpaka saa tano usiku akifunga anaoga nje halafu analala dukani, asubuhi saa 12 duka limefunguliwa mara miaka miwili tiyari analala kwenye nyumba yake....
jamani hata huu ni upendeleo

serikali ilianzisha quota system wakaongeza pass mark kwa mkoa kilimanjaro matoke yake wanafunzi waliokuwa wanatoka mkoa wa wakilimanjaro wakawa na akili zaidi na wazazi wa kaanzisha kitu kinaitwa "shule za wazazi"
 
Last edited:
wanchaga wengi ni wafanyabiashara na wanamakampuni na wao wakiajiri wachaga itakuaje......

wafanya biashara wakubwa wengi wahind, wabantu tz wengi wachaga? je hii mnasemaje
 
waliopelekwa mahakamani ni mramba, yona na mgonja....

lakini wakina chenge, rashid, karamagi , msabaha rostam na wengine wengi hawajaguswa kwa ajili wao si wachaga na hii iko wazi inajulikana
 
Jamani wachagga sio wafanyabiashara ni wachuuzi "petty traders" hawana mchango wowote kwenye uchumi wa nchi. Hakuna mchagga hata mmoja aliyesajiri biashara yake DSE. Hata huko serikalini wamepungua sana na wachache ndo hao akina Mgonja Kweka Mramba Masawe, wameshakuwa wateja wa akina Mkono Magafu Makani!
 
Wajameni acheni kuwapiga vita wachaga!!!! Wao walikubali kusoma tena yale masomao ambayo wengi wetu tunaona ni magumu, mfano Science and Maths!!!! Hapa sipingi kuwa kuna wachaga pia waliosoma HGL, HKF, HGK,etc!!! Kwa michepua yote walijitahidi na hawakuogopa umande au baridi!!! Mapato ya kahawa yalifanya kazi yake!!! Mapato ya ndizi, pombe ya mbege (sizungumzii komoni, denge, piwa a.k.a gongo, dadi et al..) na mahindi yalifanya kazi yake. Kazi hiyo kubwa ni kuwasomesha watoto wao!!!! Baba na mama watavaa nguo moja ili mradi watoto wao wasome!!!! Je huku kwetu uswahilini si tunafanya mashindano ya kununua vitenge na sherehe za midundiko!!!! Si tuhahakikisha lazima watu wale na kuvimbiwa, kukesha ngoma n.k wakati tunacheza watoto wetu???? Je tunakumbuka kuna mtoto hajalipiwa ada???? Wenzetu wachaga walijua adui wa maendeleo ni ujinga!!! Hivyo, tuache wivu na tujifunze kutoka kwa Wachaga.


Nimeona hata rafiki zangu waliooa wachaga, wako mbele sana kimaendeleo!!!! Jambo la kwanza kama ukioa mchaga na bado hujajenga ni lazima utajenga tu!!!! Wanapenda kujitegemea!! Wanawake wa kichaga hawana mashindano ya kununua kanga na vitenge, kwanza wengi wao hawajui hata kufunga kanga, si jadi yao. Hivyo machaga mwanaume kwa mwanamke ni vyombo vya maendeleo. Wasiotaka kulitambua hilo na wameze wembe, waachane na majungu hayo.

Namshauri mkuu wa nchi abadili mtizamo wake na awateue wachaga kushika nyadhifa, ataona mabadiliko. Akiendelea kuwateua ma classmate wale maswahiba kwa udini na ukabila ngoma itamdodea kwa mara nyingine tena. Nampa pole nchi inakwenda mrama sasa.

Halafu hata katika sakata la EPA wachaga pale ni wangapi???? Tunaposema jambo tutoe na data pia. Richmond wachaga wangapi??? Deep Green wachaga wangapi?? Rada wachaga wangapi?? na mengine mengi ambayo unayafahamu. Tusipende kuharibu majina ya wachapa kazi tu eti kwa kuwa mmoja ametenda kosa. Tuwe objective, please!!!

Nawapa wachaga big up and keep it up. Forward ever, backward never!!!

.....mfano halisi ni BM Mkapa!.......
 
Nashukuru kwa wana JF kuchangia katika mjadala huu mkali wa leo kusema ukweli hawa wenzetu wachaga ni wabaguzi ndio maana nao wanabaguliwa,hata kwenye ndoa zao mara chache sana utakuta mchaga kaoa kabila lingine(CHASAKA)huwa wanabagua wasio wachaga.Pia wenyewe kwa wenyewe wanabaguana msidhani wako pamoja kuna wengine wanajiona wako juu zaidi ya wengine.nachowaomba kwanza mjisafishe na dhambi ya ubaguzi tuone kama mtabaguliwa
 
Sidhani kama hilo litakuwa tatizo kwani na wenyewe wakishajikita kwenye madaraka sana tunaanza kampeni ya kuwaondoa na wao na tuendelee kupokezana hivyo hadi makabila yote 120 yaishe...
Siku zote huwa hoja za Mwanakijiji naziona nzito, za Kizalendo na za Kujenga! Hili hapa ni completely the opposite!

Wewe ukianza na Wachaga, utaishia na nani?? Kwanza Wachanga unawajua vema?? Unajua kuwa wanaitwa Wachanga ila kwao Kilimanjaro ni kama Makabila 8 hivi au hata zaidi??

Haya ni mawazo potofu kabisa ya kurudisha watu nyuma melfu ya karne! Tuongelee kujenga Taifa kwa kuweka huduma mbalimbali na tawala za sheria. Sio mambo ya dini au Ukabila. Huu ni ulevi wa mawazo huu na tutumie nguvu zetu kujengana sio kubomoa nchi.
 
hii inaukweli ubaguzi upo tusolve issue mapema kabda mambo hayajaharibika,tusitee ujinga pamoja nakusoma kwao ila ni wabaguzi mimi mwenyewe nimeonja ubaguzi wao
 
M KIJIJI, UMEANZA NA WACHAGA, THEN WAKIJIUZULU UTASEMA NA WAHAYA NAO THEN UTATURUKIA WANYAKYUSA. hOJA YA MSINGI HAO WENGINE NAO WAWEKEZE KWENYE ELIMU KWA WATOTO WAO. Wakati wachaga wanaenda shule wao walikuwa wapi. Nakwambia uwahamishe wachaga uwapeleke Lindi na chingas uwahamishie Kilimanjaro. After some years Lindi itakuwa juu na KLM itadidimia manake huko itakuwa ni ngoma na sherere tu. Samahani niliowaudhi
 
Mwanakijiji mimi ni mmoja wa wanaovutiwa na uzuri wa michango yako, lakini kwa hili la wachaga,ndugu yangu umechemka,mpaka nyuzi 100.kenya tunasikia ufisadi,china nako viongozi wanafanya ufisadi,DRC viongozi mafisadi,sidhani kama na kabila za huko ni wachaga ndo maana wanafanya ufisadi,suala la uchu wa mali haliko kwa wachaga tu,bali ni suala ambalo ni la kila kiumbe hai,inategemea mtu binafsi jinsi gani ataweza kulikabili,suala la kusema wape kabila lingine hata kama wajasoma nadhani ni suala ambalo huko tuendako ni ndoto,siku zote huwezi kumuongoza aliyekuzidi kielimu ujue atakuchezea tu,ila ingekua jambo la busara kama tungeweza uliza wachaga ni mikakati gani walipanga mpaka wakafikia hapa walipo ili kabila nyingi za kitanzania ziweza ondokana na ujinga ziwe kama wachaga,haiwezekani kwa ajili marekani ndo inashikilia uchumi wa dunia, uwaambie nafasi hiyo wapewe taifa kama tanzania,just imagine kabila zingine zinashindwa hata ku-controll familia zao leo uje umpe nafasi serikalini,a-controll vichwa vyenye akili zao,duhh hii ni ngumu,na kimantiki kabisa kwenye suala la uchapaji kazi hii kabila hiko juu, na sio wachaga tu bali ziko baadhi za kabila zenye kufanya jitahada na maisha nazo zinaenda juu,na hili ndo tatizo la kabila nyingi zetu za ki-tz,tunaishi bila mikakati kisha tunatamani jambo fulani liwe letu,suala la msingi ni kuzinduka toka usingizini tuwaelimishe kabila zetu umuhimu wa kuwa na mipango endelevu,
 
Juzi Raila na Kibaki walikutana ktk Grand Coaliation!

Kati ya mambo waliyoongelea ni ajira za serikali/mashirika yake kufanywa kwa quota: yaani kila Wilaya/Province kupewa nafasi equitably ktk ajira!
 
Juzi Raila na Kibaki walikutana ktk Grand Coaliation!

Kati ya mambo waliyoongelea ni ajira za serikali/mashirika yake kufanywa kwa quota: yaani kila Wilaya/Province kupewa nafasi equitably ktk ajira!

Mkuu unadhani itawezekana? na kama ikiwa hivyo baadae shuhudia kujitanua kwa kingdoms,na sehemu nyingine zinazopaswa leta manufaa kwa uchumi wa nchi kufa,
 
sitaki niamini kama MM hii hoja umeileta ukiwa serious...mtu kujihisi amenyinmwa nafasi ya kukiendeleza kwenye nchi huru ni utumwa wa kujitakia na ujinga endelevu...na kukubali mwingine amekuzidi bila upendeleo wa wazi ni kujihujumu kimawazo na kuukubali uzembe...

kuwaondoa sio dawa..kwani zambi ya ubaguzi ni endelevu....leo wachaga kesho tutasema wahaya.....
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom