Siku hizi JKT ndio msingi wa kwenda kote huko na kwingine pia kama polisi magereza nkHelo waungwana Mambo vipi. Nipo hapa leo kuulizia Jambo moja..
Wiki 4 zilizopita niliona tangazo la kujiunga JKT kwa kujitolea.. vijana wengi waliomba hata wangu amekwenda ...
Lakini je Kuna ajira huko au ? Naombeni majibu .........
....
NASHUKURU Sana mkuu kwa maoni hayaYes wanaajiriwa but tofauti na zamani pia kila mtu na bahati yake
Sawa mkuuSiku hizi JKT ndio msingi wa kwenda kote huko na kwingine pia kama polisi magereza nk