Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,495
- 5,531
Habari;
Jana nilienda na mteja wangu mmoja kwa ajili ya kufanya taratibu za kupata mkopo katika tawi moja la benki ya NMB.
Kufika nilikuta matangazo mengi sana yakitahadharisha juu ya Utapeli wa Biashara ya Madini pamoja nakubadili dola feki.
Kwanza nilishtuka na kujiuliza je ni kwamba huu utapeli unafanyika ndani ya mabenki au ni kila mahali?Kwa nini tangazo liko NMB je linawahusu wastaafu wa serikalini ambao wengi wamekuwa ni wahanga wa hii michezo?
Anyway utapeli upo tuchukue tahadhari.
Jana nilienda na mteja wangu mmoja kwa ajili ya kufanya taratibu za kupata mkopo katika tawi moja la benki ya NMB.
Kufika nilikuta matangazo mengi sana yakitahadharisha juu ya Utapeli wa Biashara ya Madini pamoja nakubadili dola feki.
Kwanza nilishtuka na kujiuliza je ni kwamba huu utapeli unafanyika ndani ya mabenki au ni kila mahali?Kwa nini tangazo liko NMB je linawahusu wastaafu wa serikalini ambao wengi wamekuwa ni wahanga wa hii michezo?
Anyway utapeli upo tuchukue tahadhari.