babuazaboy
Member
- Apr 17, 2021
- 8
- 4
Hii thread ni kwa ajili ya wana chuo au watu waliomaliza chuo kabisa na wenye ndoto ya kwenda kujiendeleza kimasomo kwa Masters na PhD.
Naandika huu uzi kutokana na my personal experience.
1. Rejea kichwa cha habari, nimeandika 100% FUNDING sijasema 100% SCHOLARSHIP. In short kwa US na Canada scholarships za kusoma MS na PhD ni chache mno na ngumu kupata. Watu wengi wanaondoka kusoma huwa wanapata funding. Je tofauti ya scholarship na funding ni ipi? Scholarship ni free money that you don't have to payback ambayo ni tafauti sana na funding. Funding mara nyingi ni wanaita ASSISTANTSHIP ambapo unapewa kazi ya kufanya na chuo (mfano wa kazi ni grading, teaching, tutoring and researching ). So 100% FUNDING means unalipiwa ada + unalipwa salary kila mwezi kwa kazi unazofanya.
2. Amua unataka kusoma kitu gani (mfano. PhD in Civil engineering) then fanya research by googling unachokata kusoma na upate vyuo wanavotoa hio kozi. Kwenye website ya kila chuo kuna page ya Funding na admission requirements. Soma vizuri hizi page mbili.
3. Itabidi ufanye pepa za GRE Math and English) na pepa ya TOEFL (English tupu). Pia uwe na PDF za transcript yenye GPA nzuri kidogo.
4. Vyuo vingi wanahitaji three or four recommendation letters.
5. Vyuo vingi kwenye during online application watakuuliza if you want to be considered for assistantship. Select YES.
Wenye maswali karibuni.
Naandika huu uzi kutokana na my personal experience.
1. Rejea kichwa cha habari, nimeandika 100% FUNDING sijasema 100% SCHOLARSHIP. In short kwa US na Canada scholarships za kusoma MS na PhD ni chache mno na ngumu kupata. Watu wengi wanaondoka kusoma huwa wanapata funding. Je tofauti ya scholarship na funding ni ipi? Scholarship ni free money that you don't have to payback ambayo ni tafauti sana na funding. Funding mara nyingi ni wanaita ASSISTANTSHIP ambapo unapewa kazi ya kufanya na chuo (mfano wa kazi ni grading, teaching, tutoring and researching ). So 100% FUNDING means unalipiwa ada + unalipwa salary kila mwezi kwa kazi unazofanya.
2. Amua unataka kusoma kitu gani (mfano. PhD in Civil engineering) then fanya research by googling unachokata kusoma na upate vyuo wanavotoa hio kozi. Kwenye website ya kila chuo kuna page ya Funding na admission requirements. Soma vizuri hizi page mbili.
3. Itabidi ufanye pepa za GRE Math and English) na pepa ya TOEFL (English tupu). Pia uwe na PDF za transcript yenye GPA nzuri kidogo.
4. Vyuo vingi wanahitaji three or four recommendation letters.
5. Vyuo vingi kwenye during online application watakuuliza if you want to be considered for assistantship. Select YES.
Wenye maswali karibuni.