Dada mmoja alikua na mchumba wake ambaye walipendana sana walikaa ktk maisha ya uchumba kwa kipind kirefu bila ya kuvunja amri ya 6,lakin mtaani kulikua na fununu kua jamaa si rizik,ila yule dada alikataa na kusema ya kua hayo maneno c ya kwel bali wanamzulia,bahat nzur ndoa inafungwa ck zinaenda msela anatoa sababu nyingi za kushindwa kushirik dinner ya uck,inafikia hatua msela anampa ukwel mke wake na kua anaye bwana ambaye ndo anampa vitu vyote vizur walivyo navyo na kama vip yupo tayar mshikaji kuwashughulikia wote pindi wakiwa na mahitaji hayo muhimu,msela atakuja home na jamaa atampisha,ila yy msela atakua anaenda nje ili asimuuz mke wake atakapo kua anaitaji kuhudumiwa.
Je ingekua ww ungefanyaje?
Je ingekua ww ungefanyaje?