Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,857
- 1,915
SoonTumejaa tele sema tunataka seriously love
SoonTumejaa tele sema tunataka seriously love
😂😂😂Kwann mkuuMada za form one zimezidi humu
Na connection ni WALLET NENE.Mzee wa kataa ndoa huwezi kukubali hili ila ndio uhalisia bado wanawake wa kweli wapo kumpata ni connection tu
Kijana mnafungua shule lini?Kuna demu unapendana naye saana mpaka mkawa Na mpango wa kuoana lakini kwa bahati mbaya demu anasau ahadi zenu zote Na kwenda kuolewa Na mwanaume mwingine
Ukiwa katika stress za kuachwa mdogo wake Na Yule demu anakuja kukuambia kuwa kama dada Yake amekupoteza yeye hayupo tayari kukuoana ukiwa katika stress kwa hiyo Yupo tayari kuendelea Na wewe kama utampa nafasi katika moyo Wako
Kwa Akili Yako wewe unaweza kukubali jambo ilo ?
Na je ni sahii katika jamii ?
ni jambo zuri na halina ubayaKuna demu unapendana naye saana mpaka mkawa Na mpango wa kuoana lakini kwa bahati mbaya demu anasau ahadi zenu zote Na kwenda kuolewa Na mwanaume mwingine
Ukiwa katika stress za kuachwa mdogo wake Na Yule demu anakuja kukuambia kuwa kama dada Yake amekupoteza yeye hayupo tayari kukuoana ukiwa katika stress kwa hiyo Yupo tayari kuendelea Na wewe kama utampa nafasi katika moyo Wako
Kwa Akili Yako wewe unaweza kukubali jambo ilo ?
Na je ni sahii katika jamii ?
Aseee noma sana.Maneno ya vijiweni hayo wanawake hatufanani so kila mtu na demand yake so kuna wenye kigezo pesa na wenginee wanataka future hubby