Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,701
watoto wa primary..kuna mwanamke single siku hizi ?
watoto wa primary..kuna mwanamke single siku hizi ?
kisasi ni haki ya kila mtuKuna demu unapendana naye saana mpaka mkawa Na mpango wa kuoana lakini kwa bahati mbaya demu anasau ahadi zenu zote Na kwenda kuolewa Na mwanaume mwingine
Ukiwa katika stress za kuachwa mdogo wake Na Yule demu anakuja kukuambia kuwa kama dada Yake amekupoteza yeye hayupo tayari kukuoana ukiwa katika stress kwa hiyo Yupo tayari kuendelea Na wewe kama utampa nafasi katika moyo Wako
Kwa Akili Yako wewe unaweza kukubali jambo ilo ?
Na je ni sahii katika jamii ?
ikiwezekana mimba itamfaa zaidi aende kudundana yeye na dada yakeWewe sindiyo unae bembelezwa kule mrudiane na jamaa ..?Tumejaa tele sema tunataka seriously love
Yan hampendani tu😀😀Tatizo moyo wako bado utakuwa bado upo kwa yule dada Yake aliyekuacha.Hata mdogo wake awe serious kiasi gani bado utaona hawezi kufit kwenye Viatu vya dada Yake.
Mapenzi jamani, unampenda hakupendi na anayekupenda humpendi 🤔
Akamvulia na nguo kabisaKwa hiyo alikufata Hadi chumban
Akitoka hapo ana supa GonoUmeletewa nyapu ya bure una rembaremba, peleka moto jomba utajua ni sahihi au siyo sahihi akili ikishasahau pigo ulilopewa na dada yake
Mpaka mabikira Wapo dunia ni pana na ina siri.kutokuona jambo hakufanye lile jambo lisiwepo.aaab banaa haupo serious weyee.. single kabisaa mmh! hata siamini
Afu akaja jf kutuuliza kama hakijatokea kitu vileAkamvulia na nguo kabisa
Wakati kala kashiba kanawa alafu anakuja kuchukua maelezo kwa wajomba na mashangazi wa JFAfu akaja jf kutuuliza kama hakijatokea kitu vile
Nabisha.Tumejaa tele sema tunataka seriously love
nimecheka balaa yaani bila aibu unasema mmejaa mpo single wakati mnavizia nani mwenye pay.
Wewe sindiyo unae bembelezwa kule mrudiane na jamaa ..?
Wewe sio single ni divorced






nipo single mwaka wa 12 huuNabisha.
If no money DOES NOT MAKE SENSE
#YNWA