Je unaweza kukubali jambo ili ?

Je unaweza kukubali jambo ili ?

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,788
Reaction score
5,027
Kuna demu unapendana naye saana mpaka mkawa Na mpango wa kuoana lakini kwa bahati mbaya demu anasau ahadi zenu zote Na kwenda kuolewa Na mwanaume mwingine

Ukiwa katika stress za kuachwa mdogo wake Na Yule demu anakuja kukuambia kuwa kama dada Yake amekupoteza yeye hayupo tayari kukuoana ukiwa katika stress kwa hiyo Yupo tayari kuendelea Na wewe kama utampa nafasi katika moyo Wako

Kwa Akili Yako wewe unaweza kukubali jambo ilo ?
Na je ni sahii katika jamii ?
 
Kuna demu unapendana naye saana mpaka mkawa Na mpango wa kuoana lakini kwa bahati mbaya demu anasau ahadi zenu zote Na kwenda kuolewa Na mwanaume mwingine

Ukiwa katika stress za kuachwa mdogo wake Na Yule demu anakuja kukuambia kuwa kama dada Yake amekupoteza yeye hayupo tayari kukuoana ukiwa katika stress kwa hiyo Yupo tayari kuendelea Na wewe kama utampa nafasi katika moyo Wako

Kwa Akili Yako wewe unaweza kukubali jambo ilo ?
Na je ni sahii katika jamii ?
Nakubali tu mkuu, na hapo hapo namtia kuonesha nime mkubali
 
Kuna demu unapendana naye saana mpaka mkawa Na mpango wa kuoana lakini kwa bahati mbaya demu anasau ahadi zenu zote Na kwenda kuolewa Na mwanaume mwingine

Ukiwa katika stress za kuachwa mdogo wake Na Yule demu anakuja kukuambia kuwa kama dada Yake amekupoteza yeye hayupo tayari kukuoana ukiwa katika stress kwa hiyo Yupo tayari kuendelea Na wewe kama utampa nafasi katika moyo Wako

Kwa Akili Yako wewe unaweza kukubali jambo ilo ?
Na je ni sahii katika jamii ?
BIG NO
 
Tumejaa tele sema tunataka seriously love
Ili mjue tumefika na kuanza kujichetua mkifanya kituko cha kila aina, sasa hivi kuwa serious wewe ndiyo wanaume tutazingatia hayo mapenzi kidogo ila hakuoneshi yeyote kama anakupenda. Maana mkijua hilo mnavimba kichwa kama kobra anayeteka kutema sumu
 
Tatizo moyo wako bado utakuwa bado upo kwa yule dada Yake aliyekuacha.Hata mdogo wake awe serious kiasi gani bado utaona hawezi kufit kwenye Viatu vya dada Yake.

Mapenzi jamani, unampenda hakupendi na anayekupenda humpendi 🤔
 
Kuna demu unapendana naye saana mpaka mkawa Na mpango wa kuoana lakini kwa bahati mbaya demu anasau ahadi zenu zote Na kwenda kuolewa Na mwanaume mwingine

Ukiwa katika stress za kuachwa mdogo wake Na Yule demu anakuja kukuambia kuwa kama dada Yake amekupoteza yeye hayupo tayari kukuoana ukiwa katika stress kwa hiyo Yupo tayari kuendelea Na wewe kama utampa nafasi katika moyo Wako

Kwa Akili Yako wewe unaweza kukubali jambo ilo ?
Na je ni sahii katika jamii ?
Kuvunjika kwa koleo sio mwisho wa uhunzi
 
Tatizo moyo wako bado utakuwa bado upo kwa yule dada Yake aliyekuacha.Hata mdogo wake awe serious kiasi gani bado utaona hawezi kufit kwenye Viatu vya dada Yake.

Mapenzi jamani, unampenda hakupendi na anayekupenda humpendi 🤔
Tumia kanuni ya MAAAN, yaani Mpende Akupendae, Asiyekupenda Achana Nae.
Hapo utaaona mapenzi ni matamu kama mirinda nyeusi😋
 
Back
Top Bottom