Je Unataka Kuwekeza Kwenye Mapenzi??

yes tf suppose upo kwenye mahusiano na binti x rafiki zake wanakuletea maneno mabaya,ndugu zako hawampendi ,na wazazi wake hawakutaki hayo mahusiano yatakuwa matamu kweli?
It has never happened
It will never happen

Kila binadamu ameumbwa na instincts tofauti.
 
external factor ina nguvu sana lizzy kuwa huyaone relationship nyingi zinafail kwa sababu ya watu wa nje

Hehehhe eti nikue niyaoane.
Kama kuyaona nimeshayaona and I'll say it again and again. . . . huo ni ukichwa panzi.
 
It has never happenedIt will never happenKila binadamu ameumbwa na instincts tofauti.
ila kwenye society watu kama hao wapo na zipo relationship zinazokutana na situation kama izo ndo hapo utaJua impact ya jamii katika mahusiano
 
ila kwenye society watu kama hao wapo na zipo relationship zinazokutana na situation kama izo ndo hapo utaJua impact ya jamii katika mahusiano
Hatukatai kwamba haipo ila hao watu ni watu wanaofanya vitu kwasababu "fulani kasema. . . fulani haniungi mkono. . . fulani hapendi. . .nimesikia hivi/nimesikia vile" na sio kwasababu yeye anapenda au taka kufanya.
 
Mmmmmmmh_mimi napita hapa,...sababu sina kitu muhimu sana kwenye hayo mapenzi...........mapesa sinaaaaaaa
 
mahusiano ni uwekezaji/investmentna kama investment nyingine ili iwe succesfull vitu vifuatavyo vinaitajika1-capital-pesa ni muhimu ili mapenzi yenu yaweze kusimama kama wallet inasoma sifuri nadhani majibu yake mnajua2-human resources-watu nao wana impact kubwa ili mahusiano yawe imara ,kwanza nyie wenyewe na watu waliowazunguka3-time ni lazima muwe tayari kudedicate muda wenu ili mahusiano yadumu sio kila siku mtu yupo bize bize kama mim4 place eneo la tukio nalo linacount sana kwenye mahusiano kama mpo mbalimbali au mpo eneo mmoja yote yana matokeo flani kwenye mahusiano5 mnaweza kuendelea kabla sijarudi wakuunb kama hujajipanga ni bora ukasubiri

Kuna THREAD uli~comment ukadai hauna UZOEFU na MAPENZI, sa hayo yote umeyajuaje!?
 
Eti niambie we watu wengine wanaweza kufanya mahusiano yako na deshi deshi yafe?
Aisee Lizzy kuna watu wanakuwaga determined kuharibu Mahusiano ya ya watu usipime...na sasa hapo wahusika ndo mkiwa 'vichwa panzi' lazima mwende na maji
 
Back
Top Bottom