kilimomaarifa.tajiri
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 574
- 409
- Thread starter
- #721
Huenda udongo ni kichanga sana, na maji hupotea haraka
Pia yaweza kuwa ni wadudu hasa white flies, hao huleta virusi vya majani vinavyosababisha majani kujikunja kwenda juu
PIGA BOOSTER NDANI MIX NA DIMETHOATE TENA PIGA JUU NA NYUMA YA MAJANI, RUDIA KILA BAADA YA SIKU 14, CHINI ZUNGUSHIA YARAMILLER WINER MBOLEA GRAM 300 KWA MICHE YENYE UMRI ZAIDI YA MWAKA 1 (GRAM 300, NI SAWA/WASTANI NA VIGANJA 3 VYA MKONO WAKO MMOJA, WEKA MAJI KWANZA NDIO MBOLEA IFUATE)
KAMA SHAMBA NI LAKO, WAKATI WA MASIKA WEKA SAMADI YA KUTOSHA KWA KILA MCHE, DEBE 1 KWA MCHE
Pia yaweza kuwa ni wadudu hasa white flies, hao huleta virusi vya majani vinavyosababisha majani kujikunja kwenda juu
PIGA BOOSTER NDANI MIX NA DIMETHOATE TENA PIGA JUU NA NYUMA YA MAJANI, RUDIA KILA BAADA YA SIKU 14, CHINI ZUNGUSHIA YARAMILLER WINER MBOLEA GRAM 300 KWA MICHE YENYE UMRI ZAIDI YA MWAKA 1 (GRAM 300, NI SAWA/WASTANI NA VIGANJA 3 VYA MKONO WAKO MMOJA, WEKA MAJI KWANZA NDIO MBOLEA IFUATE)
KAMA SHAMBA NI LAKO, WAKATI WA MASIKA WEKA SAMADI YA KUTOSHA KWA KILA MCHE, DEBE 1 KWA MCHE
Mkuu.
Naomba msaada Kwa mara nyingine kuhusu mipapai yangu.
Baadhi yake inakausha majani ya kileleni kama vile imeungua na baadaye eneo la juu inapinda.
Miti miwili imekausha majani yamebaki kileleni.
Nilitumia dawa aina Dimethionate na huimwagilia kila baada ya siku moja.
Ni tatizo gani na nitumie dawa gani.
Natanguliza shukran