TECHMAN
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 2,649
- 1,128
nampa {-100%} KWA kushirikiana na kutufikisha hapa tulipo
.............................................................................
nampa {-100%} KWA kushirikiana na kutufikisha hapa tulipo
Lazima utakuwa na makengeza ya akili. Ni Mungu tu aliye na 100%, wengine wote wana mapungufu sana mfano wa madhaifu makubwa ya JK ni ukigeugeu, kutokuwa na muono wa mbali wa maamizi yake e.g kujivua gamba. Hayo ni baadhi ya mapungufu hivyo 100% haipo tena!nampa zote 100%, sioni alipokosea.
Nitampa F ya uongozi, A ya kueneza udini katika nchi isiyo na udini, A ya kuwafuga mafisadi, A ya kusafiri, A ya kutabasamu, A ya kuhongwa suti, A ya kutojua matatizo ya nchi anayoiongoza ( Hajui kwa nini Tanzania ni masikini) na mwisho kabisa A ya ushikaji. Kwa ujumla katika mambo ya msingi atascore F na katika mambo yasiyo ya msingi (mizaha) atafaulu kwa kiwango cha A.
to be fare this dr deserves 15% at least a little press freedom as we do!
Hii ndio title ya thread, kwa hapa mmeulizwa 'uongozi bora", hayo mengine yameshajadiliwa sana. Tuendelee ....Je, unampa JK asilimia ngapi za uongozi bora?
Naona kama Maria 1047 amempendelea kumpa marks nyingi asizostahili. Kama mimi ningetangulia kum-access ningempatia 0.001 tu au 1/1000Maria 1047 mbona kidogo sana? ungekuwa Mwl wanafunzi wako wote wata-fail mitihani yako
nampa zote 100%, sioni alipokosea.
wajumbe, tumpime raisi wetu kiasi gani anakubalika kwa kumpa asilimia za ufanisi wake tangu aingie madarakani 2005 kulingana na mtazamo binafsi wa kila mjumbe, hii naona itamsaidia kuboresha zaidi utendaji wake na kurekebisha mapungufu fulani ambayo tunayaona wazi wazi ktk utawala wake.