Je, unamjua Masamaki anayekaa Pugu Kajiungeni?

Tafuta Maisha ndugu!hao Mbona Wako wengi sana utasumbuka sana kupenda kuchunguza watu na Maisha Yao,umeuliza swali jibu lako ni Mimi simfahamu na wala hakuna haja yakumfahamu basi.Get life a life,na utapunguza kuhangaika na watu

Mkuu maisha nayatafuta tena sana.
 
Kama unakomaa kwenye mihangaiko yako na unapata mkwanja kihalali hakuna tatizo.
 
Maswal kama haya yamezoeleka kwenye vijiwe vya bao na kahawa,kama kipato chako kinaishia pasipo eleweka cha wenzio huishia kwa YANAYO ONEKANA KWA MACHO.
Acha kijiba cha roho!
 
Mkuu maisha nayatafuta tena sana.

Anayetafuta maisha haangaiki na maisha ya watu, utaitwa mchawi bure useme umetukanwa,komaa na maisha usifuatilie ya mtu kwani hayakusaidii, au una bifu nae unataka kumharibia, au una wivu wa namna ile aliusema mkapa!??, maisha ya mtu achana nayo bwana!! aaargh
 
Bado unadhani hivyo? Umesikia mziki wake? Magufuli mwenyewe hadi kaamua kupasua jipu.

Huyu Masamaki ni mtu wa kawaida tu, hana umaarufu huo unaousema. Sana sana namfahamu ni mtu anayekula hovyo hovyo yeye na mkewe kiasi kwamba nilikuwa najiuliza hata mechi zao za kitandani inakuwaje! Nimewahi kushuhudia akikatiwa kitimoto kilo 5 wakaitandika yeye na mkewe na mabia yasiyo na idadi. Magari yake ni haya ambayo hata sisi tunaagiza huko walikochoka kuyatumia yaani used na yeye atakuwa na excemption anayajaza tu uani.
 
Kamwambie Magufuli na Majaliwa kuwa waache roho mbaya.

Maswal kama haya yamezoeleka kwenye vijiwe vya bao na kahawa,kama kipato chako kinaishia pasipo eleweka cha wenzio huishia kwa YANAYO ONEKANA KWA MACHO.
Acha kijiba cha roho!
 
acha roho ya kwanini wewe,unataka wote hapo mtaani muwe mafukara,hiyo ni kiasi gani umekata tamaa ya maisha. Kununua mashamba na viwanja ndo iwe sababu? Umesema anafanya kazi Tra na mkewe benk,je unajua mishahara yao na ni vipi wanajinyima? Acha roho ya kwanini wewe,na huo mwanzo uchawi.

Wacha maneno yako wewe. Unasifia ujinga? Mimi nalipa kodi unamsifia mwizi wa kodi yangu? Inabidi ukapimwe akili wewe. Una akili za kuvalia chupi tu.
 
Huyu jamaa anaitwa MASAMAKI anakaa PUGU KAJIUNGENI, nimfanyakazi TRA na mke wake ni mfanyakazi wa benki ambayo sikufanikiwa kufahamu jina lake.

Huyu jamaa ni maarufu sana katika eneo lile na hata maebeo ya jirani na pale, ukimtaja Masamaki utaambiwa masamaki iko pesa. Ana viwanja na nyumba nyingi eneo lile na hata maeneo ya jirani na pale.

Swali ninalojiuliza, je huyu jamaa anayomiradi ipi ya kumfanya hawe na pesa ya kufanya mambo kama yale na kujijengea umaarufu.

Mwenye details zake atujuze.

MKUU KYEJU
Umetishaaaaa..... Pole kwa maumivu ya kukejeliwa upo TOP
:thumbup::thumbup::thumbup::thumbup:
 
Sijui wale waliokuponda leo wananisikiaje lakini nadhani ndo wafuasi Wa yule jamaa aliesema anachukia umaskini.
 
Back
Top Bottom