Samuel1
Member
- Feb 5, 2011
- 17
- 4
Last edited by a moderator:
Mwalimu kazabura alikuwa ni kiboko ikiwa zamu yake ni balaa.Madaftari kujaladia na majalada ya kaki.Mwalimu Kazabura RIP - Maswa Sec
Ngozie mkuu wa shule Azania-to date
Sitasahau
View attachment 70923
,hata mwl nyerere wa pugu sec kaka???,temea mate chini mjomba wengine walikuwa so desent,usigeneralize
Mwalimu edward kazare -muriaza primary school
Mwalimu kazabura alikuwa ni kiboko ikiwa zamu yake ni balaa.Madaftari kujaladia na majalada ya kaki.