Je unakumbuka vibano na adhabu za shuleni??

Je unakumbuka vibano na adhabu za shuleni??

ADHABU..jpg
 
Mwl Omary hapo Mbuyuni Primary karibu na kanisa la St Peters, ticha alikuwa mnoko huyo...

Mwl. Losujack Ole Ngavuti a.k.a Chifuu (R.I.P) Ilboru Seconday, khaa huyu jamaa alikuwa na sifa sanaaa...
 
Mmh! we acha tu, Mwalimu Mgonja Umbwe Sec, hatakama huna kosa au umesingiziwa, anasema ss utaondoka hivihivi? alikwa Second headmaster na mwalimu Shirima a.k.a Mashoto chamkoroma pr. wiki lake inakuwa mko jkt yaani maisha ya shule lkn yalikuwa raha japo vipoko kwa sana
 
Mwalimu Kazabura RIP - Maswa Sec

Ngozie mkuu wa shule Azania-to date
 
Chifu ni RIP? Really?
Mwl Omary hapo Mbuyuni Primary karibu na kanisa la St Peters, ticha alikuwa mnoko huyo...

Mwl. Losujack Ole Ngavuti a.k.a Chifuu (R.I.P) Ilboru Seconday, khaa huyu jamaa alikuwa na sifa sanaaa...
 
MR. NENGE kidaru Primary school hyo miaka ya 90, duh! ebana huyu jamaa alikuwa nooma, R.I.P en GOD bless him.
 
Chifu ni RIP? Really?

Yap kaka chifu aliaga dunia...kuna uzi mmoja wa tuliokuwa wadau wa Ilboru upo hapa JF unaweza kuupitia pia ukapata habari kibao tu za kitambo na mpya
 
Mwalimu Msuya same secondary school. He was good in mathematics. Mrs Yona sijui yupo she beautiful na kitururu
 
Back
Top Bottom