Mwana
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 5,440
- 1,962
'Hiyolela hiyolela hiyolea aah, Hiyolela hiyolela hiyolea na bolingo. Magagula na Lusonga sitaenda tena, maafande wa Mlale watanisurubu.'
Mhh jamani JKT kulikuwa na raha zake, Mlale hiyo Songea wimbo mmojawapo wa mchaka mckaka. Nakumbuka wimbo mwingine.
'Nalia yombwe nalia yombwe nalia yombwe nalia yombwe. Mama mbali Mlale mbali tukumbukane kwa barua na Baba mbali Mlale Mbali tukumbukane kwa barua.'
Utasikia afande Kuruta maliza hiyooo yaani muache kuimba nyimbo za masikitiko.
Ila umoja, ushirikiano, uvumilivu, usafi, ukakamavu, uzalendo nk. ni mambo muhimu niliyojifunza.
Mhh jamani JKT kulikuwa na raha zake, Mlale hiyo Songea wimbo mmojawapo wa mchaka mckaka. Nakumbuka wimbo mwingine.
'Nalia yombwe nalia yombwe nalia yombwe nalia yombwe. Mama mbali Mlale mbali tukumbukane kwa barua na Baba mbali Mlale Mbali tukumbukane kwa barua.'
Utasikia afande Kuruta maliza hiyooo yaani muache kuimba nyimbo za masikitiko.
Ila umoja, ushirikiano, uvumilivu, usafi, ukakamavu, uzalendo nk. ni mambo muhimu niliyojifunza.