Wakusolve
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 427
- 573
Dimension nini, ni uwezo au ufahamu wa binadamu kuusu Mungu.Binadamu tuna level fulani ya ufahamu kuusu Mungu.Ufahamu wa juu wa binadamu mara nyingi unatokea pale mtu anapopitia greater loss(Kupoteza au Changamoto ngumu za kimaisha)
Dimension hizo ni
-3D
-4D
-5D
3D(dimension)
Hii ni level ambayo binadamu wengi wanaishi , level hii binadamu anatumia nguvu kubwa kupata pesa, umaarufu, heshima ni level ambayo inahusu sana vitu material au binadamu anakuwa na ego kama hofu, stress, mashindano, validation
(Mungu) anakuwa outside hii maana yake nini , Mtu anamtafuta Mungu kupitia nyumba za ibada mfano kanisani
5D(dimension)
hii ni dimension ambayo mtu anakuwa haishi kutokana materials au ego inakufa kabisa, stage hii mtu anakuwa na amani ya moyo, joy, moyo wenye upendo , anaongozwa na divine power (holy spirit) hii inapelekea kuwa mtu ambaye hana chuki(kuwa mtu wa kusamehe)
(Mungu) au universe anakuwa inside,Hii maana yake nini, Mtu anaongozwa na roho wa bwana hivyo hana aja ya mtu kumfunulia neno la Mungu anapata uwezo kutoka holy spirit(roho wa bwana) , Hii mtu yupo karibu sana na Mungu.
Dimension hizo ni
-3D
-4D
-5D
3D(dimension)
Hii ni level ambayo binadamu wengi wanaishi , level hii binadamu anatumia nguvu kubwa kupata pesa, umaarufu, heshima ni level ambayo inahusu sana vitu material au binadamu anakuwa na ego kama hofu, stress, mashindano, validation
(Mungu) anakuwa outside hii maana yake nini , Mtu anamtafuta Mungu kupitia nyumba za ibada mfano kanisani
5D(dimension)
hii ni dimension ambayo mtu anakuwa haishi kutokana materials au ego inakufa kabisa, stage hii mtu anakuwa na amani ya moyo, joy, moyo wenye upendo , anaongozwa na divine power (holy spirit) hii inapelekea kuwa mtu ambaye hana chuki(kuwa mtu wa kusamehe)
(Mungu) au universe anakuwa inside,Hii maana yake nini, Mtu anaongozwa na roho wa bwana hivyo hana aja ya mtu kumfunulia neno la Mungu anapata uwezo kutoka holy spirit(roho wa bwana) , Hii mtu yupo karibu sana na Mungu.