Kufanya mapenzi ni kitu cha kisaikologia kwanza. Kitendo cha kujua huyu mtu keshaathirika kinaua saikologia nzima ya mapenzi hivyo hata condom unakuwa unahamu ya kuitumia. Lakini ki ukweli, Kama si condom (naongea kibinadamu) hali ya Ukimwi ingekuwa mbaya sana. Usiache kuitumia kama huwezi kujizuia