Je, unahitaji NEMBO/LOGO

Bongologo

Member
Apr 14, 2012
20
1
Utambulisho Wa mwanzo Wa biashara/huduma au jina la kampuni yako ni NEMBO/LOGO. Wasiliana nami Kama unahitaji nyenzo muhimu katika utambulisho wako ili ni-design NEMBO/ LOGO yako. Pia kama unataka kuiboresha au kuipa mtazamo mpya NEMBO/LOGO uliyokuwa nayo kwa sasa. 0652 999009. Bongologo@yahoo.com
 
Utambulisho Wa mwanzo Wa biashara/huduma au jina la kampuni yako ni NEMBO/LOGO. Wasiliana nami Kama unahitaji nyenzo muhimu katika utambulisho wako ili ni-design NEMBO/ LOGO yako. Pia kama unataka kuiboresha au kuipa mtazamo mpya NEMBO/LOGO uliyokuwa nayo kwa sasa. 0652 999009. Bongologo@yahoo.com

Mimi logo ninayo. Ninachohitaji kwako ni msaada namna ya kujisajiri ili kupata "BATCH NUMBER" na ili nipate nembo ya "TBS". Biashara yangu ni kutengeneza,kupaki na kuuza sembe. 0754013623
 
TBS operates three product certification schemes; namely the Standards Mark of Quality Certification Scheme; the Batch Certification Scheme and the Tested Product Certification Scheme. The Bureau also operates the Systems Certification Scheme.

Batch Certification Scheme for Imports
Batch Certification Scheme for Imports is part of the implementation of Government Notice No. 672 of 1998 – The (Standards) Compulsory Batch Certification of Imports) Regulations. TBS operated a Batch Certification Scheme for all imports covered under compulsory standards.

Under this scheme, the Bureau is also in the process of implementing Pre-Shipment Verification of Conformity (PVoC) to standards program under which products quality will be verified in countries of origin.
 
Pia unaweza kuwasiliana na jamaa Wa TBS for more info:


Tanzania Bureau of Standards
Ubungo Area, Morogoro Road / Sam Nujoma Road

Postal Address
P O Box 9524, Dar es Salaam, TANZANIA.*

Telephone +255 22 245 0298 | +255 22 245 0206 | +255 22 245 0949
Telefax: +255 22 245 0959

E-mail: info@tbstz.org*
 
Nina-design label za products vilevile. Pls. Nitumie email yk ili nikutumie sample ya labels nilizowatengenezea clients wengine. Na kaka, label ya product ambayo Ina-function Kama Brand identity ya hiyo product ni tofauti na logo. Logo ni identity ya kampuni inayotengeneza hiyo product. Mfano: angalia "blue shwosh" na neno Azam ni logo ya kampuni ya Azam but, Uhai (na label iliyopo ktk chupa za maji ya kampuni hiyo) ni brand identity ya Maji yanayotengenezwa na kampuni ya Azam. Sasa angalia tofauti inayojitokeza Kati ya Azam logo na label za bidhaa zake nyingine then you will know what I mean. Thanks
 
Nina-design label za products vilevile. Pls. Nitumie email yk ili nikutumie sample ya labels nilizowatengenezea clients wengine. Na kaka, label ya product ambayo Ina-function Kama Brand identity ya hiyo product ni tofauti na logo. Logo ni identity ya kampuni inayotengeneza hiyo product. Mfano: angalia "blue shwosh" na neno Azam ni logo ya kampuni ya Azam but, Uhai (na label iliyopo ktk chupa za maji ya kampuni hiyo) ni brand identity ya Maji yanayotengenezwa na kampuni ya Azam. Sasa angalia tofauti inayojitokeza Kati ya Azam logo na label za bidhaa zake nyingine then you will know what I mean. Thanks

email: augustinongunda@yahoo.com
 
Nina-design label za products vilevile. Pls. Nitumie email yk ili nikutumie sample ya labels nilizowatengenezea clients wengine. Na kaka, label ya product ambayo Ina-function Kama Brand identity ya hiyo product ni tofauti na logo. Logo ni identity ya kampuni inayotengeneza hiyo product. Mfano: angalia "blue shwosh" na neno Azam ni logo ya kampuni ya Azam but, Uhai (na label iliyopo ktk chupa za maji ya kampuni hiyo) ni brand identity ya Maji yanayotengenezwa na kampuni ya Azam. Sasa angalia tofauti inayojitokeza Kati ya Azam logo na label za bidhaa zake nyingine then you will know what I mean. Thanks


nitume mimi hapa qq.com@hotmail.co.uk naweza kukupa kazi moja
 
Utambulisho Wa mwanzo Wa biashara/huduma au jina la kampuni yako ni NEMBO/LOGO. Wasiliana nami Kama unahitaji nyenzo muhimu katika utambulisho wako ili ni-design NEMBO/ LOGO yako. Pia kama unataka kuiboresha au kuipa mtazamo mpya NEMBO/LOGO uliyokuwa nayo kwa sasa. 0652 999009. Bongologo@yahoo.com

Nitawatumia nyote Mungu akipenda kesho. Thanks

ok mdau tutajitahidi kufuatilia

Kwa kukusaidia aidha uweke hapa kazi zako japo kwa water mark au ufunguwe blog ambayo utaweza kutangaza kazi zako na kila mtu anaweza kuziona na kuzitathmini kama zinaridhisha, ni ushauri tu.
 
Brother X-Paster, you are very considerate. Kitendo chako tu cha kunipa ushauri kwanza, ni sadaka mbele ya Mungu. Pili, ni msaada mkubwa kwangu. Tayari nilikuwa nimeshaanza mpango wa kuji-expose more professionally ila jana tu usiku wakati Nina-contemplate nini cha Luda ya ktk mikakati yangu...ghafla, nikakumbuka, man, kuna hii kitu inahitwa Jamii Forum, I hit the buttons and here we are... Brother, this site is so productive!!! Siku zote najua threads ni uzi kumbe, hii mkusanyiko yangu hapa ya maneno ni thread pia. A ha ha ha! One love.
 
hey kaka angu, ulikuwa wapi siku zote! ebu nitupie na mimi hayo maujuzi yako nikupe mitenda. ydpstudio@yahoo.com
 
Habari sista Mimtamu. Usijali nitakutumia. Pia ukishaona baadhi ya Kazi zangu ndo utajua Kama nina uwezo Wa kukusadia kimawazo nami kujifunza mengi kwako. Muhimu, kutokana na Imani yangu, sijihusishi na project za watu au kampuni zinazojihusisha na pombe, ulevi, Kamari, na mambo kama hayo
 
Habari sista Mimtamu. Usijali nitakutumia. Pia ukishaona baadhi ya Kazi zangu ndo utajua Kama nina uwezo Wa kukusadia kimawazo nami kujifunza mengi kwako. Muhimu, kutokana na Imani yangu, sijihusishi na project za watu au kampuni zinazojihusisha na pombe, ulevi, Kamari, na mambo kama hayo

Duh! Kwenye anasa ndo kuna dili mkuu ushakosa kazi mi nilikuwa nataka logo ya kilabu changu hapa maeneo ya chamazi. By the way hope unatoa kichwani maana cku hizi designerz hawataki kuumiza vichwa au wengine wamevamia ni mwendo wa ku2mia templetes 2.
 
Katika jitihada zangu za kutengeneza blog, nimekuta kuna jamaa wengine tayari wanatumia jina "bongologo" sasa basi, ili kuondoa confusion na pia kuheshimu masuala ya hatimiliki imenilazimu nibadili jina la project wangu. Nafiria kuihita "NACHORANEMBO". Sijui wadau mwasemaje
 
Yaani we acha tu. Nalijua Hilo kaka. Ntakwambia kitu kimoja. Kwangu Mimi ni bora kuridhika na kitu kidogo kuliko kupigania kikubwa na kumkosea Mungu. Zamani nilikuwa nafanya Kazi mbalimbali but wajua kuna muda unafika inabidi ubadilike bro. Sasa hivi Nina miaka Kama 47/48 hivi na najiweka ktk low profile hivi. Mazee, namshukuru sana Allah maana amenijaalia uwezo mkubwa Wa kubuni nembo. Kwangu Mimi design work inanipa raha, inanitolea ma-stress yaani ni chombo kinachosadia well being yangu. Ntakumia sample bro uone na nakushukuru sana
 
Habari zenyu bana. Nimetuma sample za logo kwa wale wote walionipatia email address zao.
 
Back
Top Bottom