Marco Seth
JF-Expert Member
- Oct 21, 2022
- 5,327
- 6,829
😆😆Ukitoa Baba yangu, Mama yangu na Mimi.
Waliobaki wote walikuwa Sokwe😂
HatarCCM wote walianza kuwa sokwe
Mkuu ngoja kwanza kwani wazungu wa walitokana na nini?Charles Darwlin
He proposed that humankind originated from man-like apes (first quote) in Africa and that humans are most allied to chimpanzees and gorillas (second quote). Further, Darwin seems to have thought that our progenitors were more like chimpanzees than gorillas (third quote).
Na Theory of creation inasema
God made Adam from dust, in God's image, “the Lord God formed the man from the dust of the ground and breathed into his nostrils the breath of life, and the man became a living person”(Genesis 2:7)
We upo Upande Gani?
Na kwa nini wametufundisha shuleni kwenye History sisi tulikuwa ni apes
Kwa woteMkuu ngoja kwanza kwani wazungu wa walitokana na nini?
Ni kama wametudharauTuseme waliotokana na Adam na Eva ni wazungu tu. Wengine ni mwendo wa "Darwinism ".
Haha 🤣Mtazame sana mzee wasirra utabaini jambo
Kwanza kabisa hiyo habari ya "binadamu alikuwa sokwe" umeipata wapi?Charles Darwlin
He proposed that humankind originated from man-like apes (first quote) in Africa and that humans are most allied to chimpanzees and gorillas (second quote). Further, Darwin seems to have thought that our progenitors were more like chimpanzees than gorillas (third quote).
Na Theory of creation inasema
God made Adam from dust, in God's image, “the Lord God formed the man from the dust of the ground and breathed into his nostrils the breath of life, and the man became a living person”(Genesis 2:7)
We upo Upande Gani?
Na kwa nini wametufundisha shuleni kwenye History sisi tulikuwa ni apes
Kitabu kizuri sana, kimezama kwa kina kwenye hizi habari.
Charles DarwinKwanza kabisa hiyo habari ya "binadamu alikuwa sokwe" umeipata wapi?
Charles Darwin kasema maneno hayo wapi? Weka hapa maandishi yake tuchambue neno kwa neno.Charles Darwin
Tupe brief Mkuu na uchambuzi wako juu ya Iman yako juu ya MunguKitabu kizuri sana, kimezama kwa kina kwenye hizi habari.
Nilikifurahia sana.
anafananisha ila sio kuwa Mtu alikuwa ni sokweCharles Darwin kasema maneno hayo wapi? Weka hapa maandishi yake tuchambue neno kwa neno.
Watanzania wengi hamjui kusoma Kiingereza na hamjui kusoma kwa ufahamu (reading with comprehension).
Weka maneno ya Darwin tuyahakiki hapa.