Je, umeziona na kuzisoma kanuni mpya za uchaguzi wa serikali za mitaa?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
943
4,457
Nimejiuuliza zilipo kanuni za kusimamia uchaguzi wa serikali za mtaa. Nimezisaka mitandaoni na kwenye gazeti la serikali zijaziona.

Lakini Mzee Lipumba na Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi wanasema kanuni zipo tayari. Mwana CCM mwenzangu umeziona kanuni hizi mpya za uchaguzi? Nani amezitunga? Je uchaguzi utasimamiwa na Mkurugenzi wa Halmashauri au Tume ya uchaguzi?
 
Hapana. Kinachosemwa ni kwamba kanuni tayari zimeandalwa lkn bado hazijatangazwa.
 
Nimejiuuliza zilipo kanuni za kusimamia uchaguzi wa serikali za mtaa. Nimezisaka mitandaoni na kwenye gazeti la serikali zijaziona.

Lakini Mzee Lipumba na Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi wanasema kanuni zipo tayari. Mwana CCM mwenzangu umeziona kanuni hizi mpya za uchaguzi? Nani amezitunga? Je uchaguzi utasimamiwa na Mkurugenzi wa Halmashauri au Tume ya uchaguzi?
Ccm wanaogopa uchaguzi

Wanavizia viziia ili wachomeke mambo yao maovu

Mitihani ni zile 4R alizoahidi mama Abdul zitatimizwa?

Je akizitimiza ccm itaendelea kusivive?
 
Back
Top Bottom