Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,785
- 95,846
Eti 10 😂😂😂Kiboko hio 😀
Huyu anatufanya sie watoto?
Eti 10 😂😂😂Kiboko hio 😀
😂😂😂 mfyuuuJirani ukaenda mkoani bila hata kuniaga 😅
Tano kawaida sana
Hakika.Hawakosekani hao, sio jf tu, hata kazini, mtaani au jirani, hata uende Europe, bi mkubwa wangu alinambia "mwanangu majungu ndiyo kazi yenyewe", nilikuwa naelekea kufanya kazi ofisi fulani, always jua namna ya kuishi nao.
hata kama una kula ujana ila sio hivi,Tano kawaida sana
hata kama una kula ujana ila sio hivi,
CHAI
Kumi za dakika ngapi ngapi kwanza kama dakika kwa dak 2 3 5 inawezekana ila masafa marefu goli 10 sidhani 🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️!Eti 10 😂😂😂
Huyu anatufanya sie watoto?
Embu tukione 😋Me nna kina fupi 😂😂😂
Itakuwa tako kumi.Kumi za dakika ngapi ngapi kwanza kama dakika kwa dak 2 3 5 inawezekana ila masafa marefu goli 10 sidhani 🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️!
huenda alifanikiwa kweli🤣Eti 10 😂😂😂
Huyu anatufanya sie watoto?
Mkaamua nyie na modisi muende vakesheni 😂😂😂😂 mfyuuu
5 kawaida sana we komaa na chips wenzio jana wamepigwa bao tanohata kama una kula ujana ila sio hivi,
CHAI
😂😂Eti 10 😂😂😂
Huyu anatufanya sie watoto?
Aaah hamna hio jamaa alipiga tako moja, mbili,3,4,5,6,7,8,9, 9 na nusu ile anataka kupiga ya kumi champagne ikafunguka.huenda alifanikiwa kweli🤣
kwa hicho kitambi cha bia?5 kawaida sana we komaa na chips wenzio jana wamepigwa bao tano
Kwani kitambi ndio kinafanya?kwa hicho kitambi cha bia?
CHAI
sawasawa kamanda wape mpaka wasemeKwani kitambi ndio kinafanya?
Sina kitambi kamanda.