Je, umewahi kufikisha goli 5 na kuendelea?

Je, umewahi kufikisha goli 5 na kuendelea?

hapana mkuu niliondoka nikamsindikiza stand alikua anaenda shule kidato cha sita mimi nilikua chuo mwaka wa pili. Cha ajabu next day nilipotazama picha tulizopiga pamoja midadi ikanijaa nikajilipua kipindi hicho bado nilikua kwenye chama pendwa cha CHAPUTA.

Kiukweli yule dogo nilitokea kumuelewa sanaaa nadhani ndio mwanamke nilimpenda kuliko wanawake wote.
Na bado ukaachwa mkuu
 
Back
Top Bottom