Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,688
- 184,127
🤣🤣🤣😂😂😂🤣 me simo akuuuu
🤣🤣🤣😂😂😂🤣 me simo akuuuu
Unavopenda ligi sasa🤠!Ilikuwa ni kamzozo fulani kilitokea September huko ila tuachane nayo tu.
Nyie ndio mnaingia jf mkiwa bar 😂😂🤣Nilikuwa vitu vingi kichwani ,matusi huwa yanakuwa karibu😀😀
Ntaijaribu hii mkuu.....now sina demu so niwe mpole ..ntaanza fukuzia wake za watuChai yangu daima ni tangawizi ambayo sitii sukari
Plus kitafunwa
Fatilia umuhimu/faida za tangawizi. Usije kunishukuru
Matunda yangu pendwa tikitiki maji, ndizi,
Ambayo hayo ni chachu Sana kwenye nguvu zetu. Fatilia na hizi
Mazoezi nafanya kwa kustua, Mara moja moja tu usiku.
Fatilia umuhimu wa pumzi kwenye kugegeda
Alafu sio mtu wa kupenda kugegeda gegeda
Hii inasaidia kuwa katika kiwango Bora[emoji41]
Ila siku nikiamua show, Basi ni show show
Vijana mkwama wapi?[emoji1][emoji1][emoji1]
Wacha wee watu na mitwangio yenu 😂😂😂Sio ujiko nakwambia ukweli Mambo ya kulala na mtu analia km ambulance hapana ukimuliiza unalia nini eti unamuumiza yanini kina kifupi wakati vina virefu vipo
🤗🤗🤗 Ankoli wako anapenda vita kama chakula 🤣🤣🤣🤓Unavopenda ligi sasa🤠!
Bao 5 sio kitu Cha kukifungulia uzi, umeniangusha Sana mkuu[emoji1][emoji1][emoji1]Ntaijaribu hii mkuu.....now sina demu so niwe mpole ..ntaanza fukuzia wake za watu
Haha kabisa ndo raha ya jf ilipo.Jf huku inabidi uwe na moyo mgumu ......Kuna sisi wengine Huwa tunaanua tu Leo tumtue mtu kwenye reli Ili ale ban
Wee ntachafua hali ya hewa 😂😂😂Kipi tena? 😀😀😀
Tena nilimtag mpk chugaman tulicheka balaa 😂😂😂Ilikua inahusu nini uduguuu hebu nipe intro namie nitanue mapafu kidogoo!