binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 15,794
- 43,422
Ilimradi tu uwakoseshe raha wenzio wanathiiiimbaaa 😝
😝😝😝😝 Haha naona unakimbia sawa bana!😂😂😂😂😂🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
🤣🤣Kwa mwanamke mtamu ambaye naemhusudu sana nikifanya nae sleepover naweza fikisha hizo goli bila tatizo 🤣!!!
Zingatia neno "Mtamu" na "Naemhusudu"
Mwanangu mwenyewe extrovert 😂😂😂Kwa mwanamke mtamu ambaye naemhusudu sana nikifanya nae sleepover naweza fikisha hizo goli bila tatizo 🤣!!!
Zingatia neno "Mtamu" na "Naemhusudu"
Heshima pesa mzee, hata upige bao kama kombora za Hamas, kama mfuko umetoboka, hakuna heshima.But unawekeza heshima [emoji23]
🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴Mara pap babu migambuti 🤣🤣🤣
Kuna yule jamaa wa tigo anajigeuzageuza mara mzee, mara mtoto wa shule mara kijana alikwenda kununua kinga phamarcy wakampa pakiti moja na chenji, akawaambia mnanionaje! "Hebu acha upuuzi, nataka 8 na nitamaliza zote usiku huu" muuzaji akapigwa butwa kwa mshangao akampa hizo pakiti 3Wakuu goli 5 ni nyingi kufikisha kwa bed.
Leo alfajiri nimejaribu hii, jana nilitembelewa na mama yenu mdogo so kulingana na nature ya siku ya jana hatukufanya chochote usiku sababu yeye ni kolo kindaki ndaki.
So, asubuhi nimeona nianze na morning glory but target yangu ilikuwa nipige bao zaidi ya tano (5G+). Kama wananchi but nimeshindwa, although nilikuwa well prepared kwa kula diet nzuri siku ya jana, but mnara umegoma kusoma 5G!
Swali wakuu; Goli/bao tano ni nyingi sana kufikisha, je umewahi kufikisha?
[emoji113]
aah wapi, wasio nacho ndio wanapigiwa kinoma, fanya tafiti.wenye pesa ndo wanaongoza kuchapiwa lkn[emoji23]
Nimewahi nilipozi sehemu moja Kilimanjaro ni ilikua bed & breakfast km huna mapafu usijaribu unajijua Figo zako zina matatizo zimejaa michanga usijaribu bandama lako halina afya usijaribu kongosho lako haliko na hali nzuri tezi zako dume zina shida usijaribu una moyo mkubwa na mpana usijaribu tutakuzikaSijawahi na sitaki jaribu
Hapana sikubali asilani abadani mkuu! Mimi moja au mbili shangwe! 😀Ww unaweza kubali pigwa goli 5.....5G[emoji23][emoji23][emoji113]
Joti[emoji23][emoji23]Kuna yule jamma wa tigo anajigeuza mara mzee, mara mtoto wa shule mara kijana alikwenda kununua kinga wakampa pakiti moja na chenji, akawaambia mnanionaje! "Hebu acha upuzi, nime 8 na nitamaliza zote usiku huu" muuzaji alpkapigwa butwa kwa mshangao akampa