Je, umewahi kufikisha goli 5 na kuendelea?

Je, umewahi kufikisha goli 5 na kuendelea?

Hizo wanapiga wanaume empty set ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ
Umeshamlia vya kutosha sasa ameungama dhambi zake zote anafanya malipizi unapigwa tano bila yaan unapigwa tano anakojoa yeye tu wewe hukojoi utakojoa kwenu
 
Mkuu tafuta vifuatavyo na usitumie sildenafil kabisa
Ukivipata niambie nikuelekeze
  • Habat Sawda
  • Tangawizi Ya unga
  • Vitunguu swaumu ya unga (au vya kuponda)
  • Pilipili mtama (Pilipili manga)
  • Mdalasini wa India (Ule mdalasini mwekundu)
  • Asali
Hakika mkuu....hapa naona ntaanza kusimamia ukucha
 
Hapo sasa! Na bado haridhiki maana ataenda kufungwa tena na Azam [emoji23][emoji23][emoji23],,, sasa kwanini usimpige hata 3 - 1 halafu hizo 2 ungempiga IHEFU [emoji1787][emoji1787][emoji1787]....
Kuna maisha baada ya Goli 5 maana consistency matters....
Kuna shabiki anasema Bora wangeonewa huruma ya utani wa jadi ....angepigwa hata 2
 
Unataka breki iwe mbupu[emoji23][emoji3063]
Wengine timejaaliwa maumbile sasa tukikutana na viuno vifupi tunateseka sana, kidogo tu kachoka mpira wa kasi nyingi km wa Yanga Jana hawawezi wanapenda ball objective kasi kidogo kidogo ukipeleka Moto sana wanaona wanateswa
 
Humu Nishabwaga manyanga muda sana uduguu siku nikikutambulisha mchuchu wangu humuu jua nimerogwa sio kwa akili yangu! ๐Ÿค 
Huyu kakukomalia ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚
Mpe nafasi udugu ๐Ÿ˜œ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ
 
Back
Top Bottom