Je, umewahi kufikisha goli 5 na kuendelea?

Je, umewahi kufikisha goli 5 na kuendelea?

Hapana sikubali asilani abadani mkuu! Mimi moja au mbili shangwe! [emoji3]

Mimi sio thiiimbaa [emoji1787]
Hivi hawa thiiimba...likaingia la kwanza wakaenjoy .....la pili .......

La tatu [emoji3063][emoji3063][emoji3063] kwanini hawakukimbia Kwa bed .....wakasubir Hadi Tano[emoji23][emoji113]
 
Utakufa mzee
Chai yangu daima ni tangawizi ambayo sitii sukari
Plus kitafunwa
Fatilia umuhimu/faida za tangawizi. Usije kunishukuru

Matunda yangu pendwa tikitiki maji, ndizi,
Ambayo hayo ni chachu Sana kwenye nguvu zetu. Fatilia na hizi

Mazoezi nafanya kwa kustua, Mara moja moja tu usiku.
Fatilia umuhimu wa pumzi kwenye kugegeda

Alafu sio mtu wa kupenda kugegeda gegeda
Hii inasaidia kuwa katika kiwango Bora[emoji41]
Ila siku nikiamua show, Basi ni show show

Vijana mkwama wapi?[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom