Je, umewahi fanya jambo gani la kutisha ulipopata hasira?

Je, umewahi fanya jambo gani la kutisha ulipopata hasira?

mzalendo namba moja

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
720
Reaction score
1,318
Watalaam wasalaam!
Hasira hasara, je umewahi kukasirishwa sana na ulifanya kituko gani?

Ngoja nianze, kwa kawaida mimi ni kijana mpole mkimya japo nikiwa na mtu ambaye tumematch chemistry ninachangamka kidesign though sipendi sana kampani na watu..being alone mostly naenjoy tu mitindo...

Before sijawahi kugundua kwamba nina hasira, nikiwa nyumbani after college miaka imepita kidogo, with my young bro ambaye kwa haiba ni muongeaji na mkorofi, so nikaconnect simu chaji then after nikawa room nimelala nikitegemea baada ya muda nitachukua phone yangu niendelee kutumia, after 3 hours hivi nafuata simu yangu, nakuta haina chaji hata kidogo, imechomolewa kwenye chaji na imewekwa simu nyingine na huyo mdogo wangu, halooo, sthn kama pepo lilipanda nikaanza kutetemeka, macho yakawa mekundu na kila mtu akaniogopa and so I took my phone nikaweka mfukoni na nikachukua ile simu yake nikaivunja kwa kuipasua ukutani...all happen suddenly na baadae nilijiuliza nini kilitokea na nikajilaumu sana, hilo likapita hivyo....

Some years passed, nikiwa nimerudi home pia siku moja, nilikuwa na mdogo wangu wa kike vilevile, anapenda kuchat ama kutumia simu hata zaidi ya kula, sasa tulikuwa matatizo ya maji mtaani, hivyo yanapotoka inabidi yajazwe ndani ili tusipate shida yakikatika tena, so binafsi nilikuwa naumwa miguu hivyo nisingeweza kuhamisha maji kwa ndoo kutoka nje kuleta ndani and so nikamtaka dada yangu mdogo achote.....

So kila nilimwambia anaitikia but hachoti, ikawa hivyo..nikimwambia ataitika lkn hachoti, halooo nikamfuata chumbani kwake, nikamkuta anachati na simu, aiseee I took the phone na bila mjadala niliisaga saga na kipondo heavy sana, ilivuruga amani na nikajisikia vibaya baadae but what happened happened.....

2022 wakati wa sensa, nikiwa nimekosana na mke wangu naye akawa amehama chumba, so nikiwa chumbani na kishikwambi cha serikali na update app ya sensa then after she came akawa ananiuliza kitu fulani, sikufocus kwake tho nilimsikia na nikawa namjibu, unajua just sudden alikirukia kishikwambi changu na akakimbia living room na alipasua😂😂😂, it wasn't fun, something came in me so sudden....

Nilichukua simu yake, alinunuliwa na mzazi wake 2M hata before hatujaoana, niliigonga ukutani na ikawa unga in a blink, plus yeye na shangazi walianza kuangalia tv mpaka saa 7 usiku so nikaunganisha kuipasua tv hiyo,iliniuma baadae lkn they were the bygones.....

So I found mimi si mpole but ni mkimya...

Wewe umewahi kufanya kituko gani kama matokeo ya hasira???
 
Nilimpasua mtoto wa mtu imekua ID yangu hapa kijijini 😂😂😂....

Ila nahisi hasira pia huendana na sirika na siyo hulka... Maana Kila nikiamua kuizuia najikuta Chali...😀😀😀

Pungufu langu kuu...😔😔😔
 
Watalaam wasalaam!
Hasira hasara, je umewahi kukasirishwa sana na ulifanya kituko gani?

Ngoja nianze, kwa kawaida mimi ni kijana mpole mkimya japo nikiwa na mtu ambaye tumematch chemistry ninachangamka kidesign though sipendi sana kampani na watu..being alone mostly naenjoy tu mitindo...

Before sijawahi kugundua kwamba nina hasira, nikiwa nyumbani after college miaka imepita kidogo, with my young bro ambaye kwa haiba ni muongeaji na mkorofi, so nikaconnect simu chaji then after nikawa room nimelala nikitegemea baada ya muda nitachukua phone yangu niendelee kutumia, after 3 hours hivi nafuata simu yangu, nakuta haina chaji hata kidogo, imechomolewa kwenye chaji na imewekwa simu nyingine na huyo mdogo wangu, halooo, sthn kama pepo lilipanda nikaanza kutetemeka, macho yakawa mekundu na kila mtu akaniogopa and so I took my phone nikaweka mfukoni na nikachukua ile simu yake nikaivunja kwa kuipasua ukutani...all happen suddenly na baadae nilijiuliza nini kilitokea na nikajilaumu sana, hilo likapita hivyo....

Some years passed, nikiwa nimerudi home pia siku moja, nilikuwa na mdogo wangu wa kike vilevile, anapenda kuchat ama kutumia simu hata zaidi ya kula, sasa tulikuwa matatizo ya maji mtaani, hivyo yanapotoka inabidi yajazwe ndani ili tusipate shida yakikatika tena, so binafsi nilikuwa naumwa miguu hivyo nisingeweza kuhamisha maji kwa ndoo kutoka nje kuleta ndani and so nikamtaka dada yangu mdogo achote.....

So kila nilimwambia anaitikia but hachoti, ikawa hivyo..nikimwambia ataitika lkn hachoti, halooo nikamfuata chumbani kwake, nikamkuta anachati na simu, aiseee I took the phone na bila mjadala niliisaga saga na kipondo heavy sana, ilivuruga amani na nikajisikia vibaya baadae but what happened happened.....

2022 wakati wa sensa, nikiwa nimekosana na mke wangu naye akawa amehama chumba, so nikiwa chumbani na kishikwambi cha serikali na update app ya sensa then after she came akawa ananiuliza kitu fulani, sikufocus kwake tho nilimsikia na nikawa namjibu, unajua just sudden alikirukia kishikwambi changu na akakimbia living room na alipasua😂😂😂, it wasn't fun, something came in me so sudden....

Nilichukua simu yake, alinunuliwa na mzazi wake 2M hata before hatujaoana, niliigonga ukutani na ikawa unga in a blink, plus yeye na shangazi walianza kuangalia tv mpaka saa 7 usiku so nikaunganisha kuipasua tv hiyo,iliniuma baadae lkn they were the bygones.....

So I found mimi si mpole but ni mkimya...

Wewe umewahi kufanya kituko gani kama matokeo ya hasira???
Wewe cha mtoto, humfikii yule mwamba wa Iringa baada ya mke wake kuchelewa kurudi jamaa alikasirika akamkamata akamlawiti hadi mke akakimbilia kwa jirani na jamaa akaja kula miaka 30 jela yaani sababu ya hasira!
Jaribu na hii.
 
Watalaam wasalaam!
Hasira hasara, je umewahi kukasirishwa sana na ulifanya kituko gani?

Ngoja nianze, kwa kawaida mimi ni kijana mpole mkimya japo nikiwa na mtu ambaye tumematch chemistry ninachangamka kidesign though sipendi sana kampani na watu..being alone mostly naenjoy tu mitindo...

Before sijawahi kugundua kwamba nina hasira, nikiwa nyumbani after college miaka imepita kidogo, with my young bro ambaye kwa haiba ni muongeaji na mkorofi, so nikaconnect simu chaji then after nikawa room nimelala nikitegemea baada ya muda nitachukua phone yangu niendelee kutumia, after 3 hours hivi nafuata simu yangu, nakuta haina chaji hata kidogo, imechomolewa kwenye chaji na imewekwa simu nyingine na huyo mdogo wangu, halooo, sthn kama pepo lilipanda nikaanza kutetemeka, macho yakawa mekundu na kila mtu akaniogopa and so I took my phone nikaweka mfukoni na nikachukua ile simu yake nikaivunja kwa kuipasua ukutani...all happen suddenly na baadae nilijiuliza nini kilitokea na nikajilaumu sana, hilo likapita hivyo....

Some years passed, nikiwa nimerudi home pia siku moja, nilikuwa na mdogo wangu wa kike vilevile, anapenda kuchat ama kutumia simu hata zaidi ya kula, sasa tulikuwa matatizo ya maji mtaani, hivyo yanapotoka inabidi yajazwe ndani ili tusipate shida yakikatika tena, so binafsi nilikuwa naumwa miguu hivyo nisingeweza kuhamisha maji kwa ndoo kutoka nje kuleta ndani and so nikamtaka dada yangu mdogo achote.....

So kila nilimwambia anaitikia but hachoti, ikawa hivyo..nikimwambia ataitika lkn hachoti, halooo nikamfuata chumbani kwake, nikamkuta anachati na simu, aiseee I took the phone na bila mjadala niliisaga saga na kipondo heavy sana, ilivuruga amani na nikajisikia vibaya baadae but what happened happened.....

2022 wakati wa sensa, nikiwa nimekosana na mke wangu naye akawa amehama chumba, so nikiwa chumbani na kishikwambi cha serikali na update app ya sensa then after she came akawa ananiuliza kitu fulani, sikufocus kwake tho nilimsikia na nikawa namjibu, unajua just sudden alikirukia kishikwambi changu na akakimbia living room na alipasua😂😂😂, it wasn't fun, something came in me so sudden....

Nilichukua simu yake, alinunuliwa na mzazi wake 2M hata before hatujaoana, niliigonga ukutani na ikawa unga in a blink, plus yeye na shangazi walianza kuangalia tv mpaka saa 7 usiku so nikaunganisha kuipasua tv hiyo,iliniuma baadae lkn they were the bygones.....

So I found mimi si mpole but ni mkimya...

Wewe umewahi kufanya kituko gani kama matokeo ya hasira???
So I found mimi si mpole but nina shida ya akili
 
So I found mimi si mpole but nina shida ya akili
The much you can confront mkuu just confront, je, wewe uko salama na hiyo afya ya akili? Mbona naona kama una shida ya socialpath na you seem a good black sheep? okay hakuna haja ya kuvutana, congrats kwa afya ya akili.
 
Niliwahi kuondoka Kazini baada ya kukorofishana na boss wangu na kupelekea kuzima simu yangu Kwa Siku kadhaa.

Nikachukua familia, nikaenda kupumzika hoteli fulani hapo Ubungo Kwa Siku tano ili kupunguza hasira

Nikawa nawasha simu usiku wa saa 5 ama natumia Wi-Fi kujibu Whatsapp messages tu

Nikakuta amenitumia meseji kuniomba radhi na kesho yake DT akanitumia nauli ya Ndege kurudi Kazini, maana kulikuwa na Ziara ya Kiongozi fulani mkubwa alikuwa anatembelea ule mradi, Na taarifa zote za mradi niliyekuwa nazijua vizuri ni Mimi muandaaji.
 
Niliwahi kuondoka Kazini baada ya kukorofishana na boss wangu na kupelekea kuzima simu yangu Kwa Siku kadhaa.

Nikachukua familia, nikaenda kupumzika hoteli fulani hapo Ubungo Kwa Siku tano ili kupunguza hasira

Nikawa nawasha simu usiku wa saa 5 ama natumia Wi-Fi kujibu Whatsapp messages tu

Nikakuta amenitumia meseji kuniomba radhi na kesho yake DT akanitumia nauli ya Ndege kurudi Kazini, maana kulikuwa na Ziara ya Kiongozi fulani mkubwa alikuwa anatembelea ule mradi, Na taarifa zote za mradi niliyekuwa nazijua vizuri ni Mimi muandaaji.
Hahahahaha, hongera lakini wakati mwingine tunapaswa kudhibiti hizi hasira zetu na kufanya rightful decisions, zinaweza kutunyima ugali mwisho wa siku
 
Back
Top Bottom