Je uliya jua haya kuhusu Clouds Media?

Status
Not open for further replies.
Kabula ambacho umesahau ni kuwa huwezi kuendesha taasisi ukiwa na rundo la vihiyo , haiwezekani, ile ni taasisi inayolisha watu , ni taasisi inayotegemewa kuelimisha umma, huwezi kutegemea Vipaji na talanta bila elimu katika ulimwengu wa leo.

KWA HIYO AKINA PROFESSOR JUMANNE MAGHEMBE, PETER MSOLA, elimu zao zimetusaidia nini? Pinda na elimu yake , amemzidi Sumaye kwa kiasi gani?
Professor Beno Ndulu, na Jaji Augustino Ramadhani nani kasoma zaidi? Sasa unaweza linganisha Professor Beno na Jaji Ramadhani?
Msiwaponde sana hao jamaa, ni bora tu muwashauri kuongeza ujuzi, lakini talent wanazo, na hiyo haina mjadala. Halafu hakuna mwenye uhakika na hizo data...si ajabu wamesoma zaid i ya hapo. Ni vigumu kuni convice kwamba PJ hajasoma, maana urguments zake ziko makini sana...
 
Watangazaji wa Clouds waliposema JF kazi ni kujadili Watu badala ya Hoja wala hawakukosea sana.

Kwa nini hatujifunzi?!!
 
KWA HIYO AKINA PROFESSOR JUMANNE MAGHEMBE, PETER MSOLA, elimu zao zimetusaidia nini? Pinda na elimu yake , amemzidi Sumaye kwa kiasi gani?
Professor Beno Ndulu, na Jaji Augustino Ramadhani nani kasoma zaidi? Sasa unaweza linganisha Professor Beno na Jaji Ramadhani?
Msiwaponde sana hao jamaa, ni bora tu muwashauri kuongeza ujuzi, lakini talent wanazo, na hiyo haina mjadala. Halafu hakuna mwenye uhakika na hizo data...si ajabu wamesoma zaid i ya hapo. Ni vigumu kuni convice kwamba PJ hajasoma, maana urguments zake ziko makini sana...
hahaaa, kuna wenye elimu ambao hawakuelimika, maana unawezaje kuwa prof ukawa mjinga kama mtoto wa darasa la nne.
katika karne hii hatuhitaji vipaji ambavyo havijachanganywa na Elimu.
 
Watangazaji wa Clouds waliposema JF kazi ni kujadili Watu badala ya Hoja wala hawakukosea sana.

Kwa nini hatujifunzi?!!

nani kakwambia tunajadili watu hapa ? umepotoka. tunajadili elimu katika taasisi inayohudumia Umma.
 
Tatizo humu kuna makanjanja mnadakia mada kwa mbele, soma michango iliyoanza mpaka ya mwisho ndio utoe comments zako, lets be great thinkers really si wababaishaji kama wabunge wetu na politics solutions for really problems.
 
jamani kusoma ni kutoa ujinga tu na kuelema dunia......je ukiwa na kipaji chako mungu amekupa usikionyeshe...hakuna marefu yasiokuwa na ncha...tuwapende sana watangazaji wetu wanauwezo wa kufanya kazi kwa kipaji kizuri...
 
jamani kusoma ni kutoa ujinga tu na kuelema dunia......je ukiwa na kipaji chako mungu amekupa usikionyeshe...hakuna marefu yasiokuwa na ncha...tuwapende sana watangazaji wetu wanauwezo wa kufanya kazi kwa kipaji kizuri...

mimi nafikiri hiyo ni mbinu ya kiuchumi kwa uongozi wa clouds Radio maana kuajili wasomi ni ghalama ambazo watapaswa kulipa, sasa kwa kadri elimu ya mtu inavyokuwa ndogo na thamani yake katika malipo ndivyo inavyokuwa duni.
 
Kinachowaudhi wadau wengi humu nikiwemo mimi ni tabia yao Clouds kusagia movements za watu wengine ambao hawaungwi mkono na Wamiliki au Watangazaji wa vipindi pale Clouds.

Pili, kinachonikera mimi zaidi kuhusu Clouds ni kutoheshimu muda wa vipindi na badala yake huendekeza porojo tena nyingine za kijinga kweli. Unavizia kusikiza Michezo katika Jahazi la Gadner saa 11.30 jioni lakini unawakuta Kibonde na Gadner wanapiga stori za kuwasagia wengine na badala yake Michezo ya Jahazi inakuja saa 12.00 jioni na Taarifa yao ya habari inakujia saa 12.15!

Hata hivyo, kuna Vipindi pale Clouds ambavyo Watangazaji wake wako smart sana na mimi hupenda kusikiliza Vipindi hivyo. Vipindi hiovypo ni:-
- Michezo (saa 3 usiku) wako Ibrahim Masoud, Shafih Dauda, Kanuti na wengine siwakumbuki
- Sports round up kila Jumapili saa 7 mchana
- Dunia yetu wiki hii- George Njogopa.

Kipindi cha Njia Panda kuna wakati kilikuwa kizuri sana lakini ghafla kwa muda mrefu kikawa hakipo- Sijui Seba Ndege alikuwa ndo yuko shule au? Yaani utafungulia kusikiza kipindi fulani saa fulani nma gjhafla unakuta kipindi hicho hakipo na tena hawatoi sbabu zozote wala kuwaomba radhi Wasikizaji.

Nlikuwa napenda kuipindi cha powe rbreak fast lakini siku hizi kina Gerald nao wanajisahau, hawazingatii muda kabisa ila wanaendekeza porojo zao hadi wanajisahau na kipindi cha Kuperuzi kinaanza saa 2 badala ya saa 1.45!

Upuuzi mkubwa wa Cliouds ni kila mwisho wa mwaka wanapoacha kurusha vipindi kwa madai ya kwenda kambini na wasikizaji wa vipindi kama vya michezo tunavikosa. POOR CLOUDS!

Kama CLOUDS mngekuwa makini mngekuwa mbali sana, hata kama watangazaji wenu wanadaiwa kutokuwa na shule lakini wana vipaji ingawa wako ambao tunawapuuza kwa kujifanya kujua kila kitu na wengine kujifanya hawawezi kujua lipi la kuzungumza kwa public na saa ngapi mfano Loveness Love.
 
KWA HIYO AKINA PROFESSOR JUMANNE MAGHEMBE, PETER MSOLA, elimu zao zimetusaidia nini? Pinda na elimu yake , amemzidi Sumaye kwa kiasi gani?
Professor Beno Ndulu, na Jaji Augustino Ramadhani nani kasoma zaidi? Sasa unaweza linganisha Professor Beno na Jaji Ramadhani?
Msiwaponde sana hao jamaa, ni bora tu muwashauri kuongeza ujuzi, lakini talent wanazo, na hiyo haina mjadala. Halafu hakuna mwenye uhakika na hizo data...si ajabu wamesoma zaid i ya hapo. Ni vigumu kuni convice kwamba PJ hajasoma, maana urguments zake ziko makini sana...

SAFI mpwaaa,

Unajua nimestahajabika sana kwa huyo mtu aliye toa hilo dongo lisilo kuwa na kichwa wala miguu ila ni taasisi jamani tuwe twafikiria sana kabla ya kuanza kuwaponda watu au taasisi fulani, kwa mfn PJ namwelewa fika na najua anachokifanya sasa hivi nini na ana elimu gani mpaka hapo alipo ati mtu ana kuja tuu huko from Hell anasema mambo ya ajabu ajabu tuuuu, pia nampa pole sana kwa aliyetoa hiyo issue kwa hiyo website iliyo tajwa.

 
kipi bora kati ya elimu na uwajibikaji?
mbona viongozi wetu wengi wameenda shule za maana tena wamesomeshwa nje ya nchi na wana madigrii na ma phd lakini hao ndio wanaotuingiza mkenge wanarudi kusaini mikataba yetu huko walikosomea?
hapa tunajadili eliomu waliyonayo au tunajadili yale wanayoserma ambayo hayana elimu yoyote maana lazima tuwe makini isije ikawa watu wa vombo vingine va habari wameamua kutuletea hii thread kwa kuwa tu wanaoneana wivu...........
mimi binafsi nawapa big up saana ila kama ilivyo kawaida wao sio malaika yapo mambo mengine pia yananikera kutoka kwa watangazaji hawa....................
akina TUNTEMEKE SANAGA alikuwa msomi kutoka iringa alikuja akiwa na degree zake saba ila alizuia na mwalimu kuziimplement ,mwalimu alijali zaidi uwajibikaji na uwezo wa kujieleza na kutatua matatizo ya wananchi bila kujali elimu ya muhusika.....................
tubadilike..........
kizuri chajiuza......kibaya.....
tuwaacheni wafanye kazi zao ila tuwakosoe kwa kile tunachofikiri sio kizuri kwa jamii yetu....
 
kipi bora kati ya elimu na uwajibikaji?
mbona viongozi wetu wengi wameenda shule za maana tena wamesomeshwa nje ya nchi na wana madigrii na ma phd lakini hao ndio wanaotuingiza mkenge wanarudi kusaini mikataba yetu huko walikosomea?
hapa tunajadili eliomu waliyonayo au tunajadili yale wanayoserma ambayo hayana elimu yoyote maana lazima tuwe makini isije ikawa watu wa vombo vingine va habari wameamua kutuletea hii thread kwa kuwa tu wanaoneana wivu...........
mimi binafsi nawapa big up saana ila kama ilivyo kawaida wao sio malaika yapo mambo mengine pia yananikera kutoka kwa watangazaji hawa....................
akina TUNTEMEKE SANAGA alikuwa msomi kutoka iringa alikuja akiwa na degree zake saba ila alizuia na mwalimu kuziimplement ,mwalimu alijali zaidi uwajibikaji na uwezo wa kujieleza na kutatua matatizo ya wananchi bila kujali elimu ya muhusika.....................
tubadilike..........
kizuri chajiuza......kibaya.....
tuwaacheni wafanye kazi zao ila tuwakosoe kwa kile tunachofikiri sio kizuri kwa jamii yetu....

kwa mtu mwenye elimu na ambae ameelimika ...Elimu huongeza uwajibikaji , nidhamu na uadilifu.
hawa Vijana wanawajibika ila kwa kukosa kwao elimu Nidhamu na uadilifu ni sifuri.
na huenda wangekuwa na elimu wakawajibika zaidi ya hapo.
 
Je,kuna mtangazaji anayelipwa
zaidi ya laki 2 pale clouds fm
mbona kamshahara kao ni kadogo, kama ni kweli naanza kupata picha ya kwanini maDj wa radio hii hulalamikiwa kwa kupokea rushwa/hongo toka kwa wasahii wadogo ili wapige muziki wao....Jamani.
 
Carthbert hapa umewamiliza kama wanakanusha haya yote wajitokeze kazi kwelikweli
"Napenda kuchangia mada ya bw.selemani kwa kuuliza maswali yafuatayo:
1. Je,kuna mtangazaji yeyote pale clouds ana shahada au stashahada ya
uandishi wa habari?jibu hapana
2. Je,kuna mtangazaji yeyote alomaliza kidato cha 6?jibu ni hapana
3. Kuhusu kukebehi mgomo wa TUCTA.,Je,kuna mtangazaji anayelipwa
zaidi ya laki 2 pale clouds fm?jibu ni hapana
4. Overall,katika clouds nzima,in all departments, with more than 40
employees,kuna employees wawili tu wenye digrii.
5. Wengi wa watangazaji na wafanyakazi ni form four failure na std 7!!
SWALI KWA WanaJF: WITH ALL THESE CIRCUMSTANCES WHAT DO U EXPECT?
Note: i have had been working there!"
Source: http://groups.google.com/group/wana...06ce?hl=sw&lnk=gst&q=Clouds+#24eabca8ae3d06ce

Hii post nimeikuta kwenye forum moja hivi imenishtua sana, hivi kuna ukweli wowote kuhusu haya maneno.
 
Ninachofahamu ni kwamba Kibonde alimaliza Form Six ila alifeli vibaya na kupata Div. 'O'
 
Watangazaji wa Clouds waliposema JF kazi ni kujadili Watu badala ya Hoja wala hawakukosea sana.

Kwa nini hatujifunzi?!!

Ni vigumu kutenganisha watu na hoja bana.........Hoja hapa ni kuhusiana na elimu ya watangazaji/wanahabari wa Clouds Media Group...........So si vibaya wakajadiliwa maana hoja yenyewe ina mashiko.....imejitosheleza....
 
Ni vigumu kutenganisha watu na hoja bana.........Hoja hapa ni kuhusiana na elimya watangazaji/wanahabari wa Clouds Media Group...........So si vibaya wakajadiliwa maana hoja yenyewe ina mashiko.....imejitosheleza....

uko sahihi.....!
 
Nakumbuka Paul James aliwahi kuwa pale Bwiru boys miaka ya tisini sijui kama anaendelea tena
KWA HIYO AKINA PROFESSOR JUMANNE MAGHEMBE, PETER MSOLA, elimu zao zimetusaidia nini? Pinda na elimu yake , amemzidi Sumaye kwa kiasi gani?
Professor Beno Ndulu, na Jaji Augustino Ramadhani nani kasoma zaidi? Sasa unaweza linganisha Professor Beno na Jaji Ramadhani?
Msiwaponde sana hao jamaa, ni bora tu muwashauri kuongeza ujuzi, lakini talent wanazo, na hiyo haina mjadala. Halafu hakuna mwenye uhakika na hizo data...si ajabu wamesoma zaid i ya hapo. Ni vigumu kuni convice kwamba PJ hajasoma, maana urguments zake ziko makini sana...
 
Mtu ambaye nina uhakika ana digrii ambaye kwa sasa sina uhakika kama yupo clouds au ameondoka ni Sebastian Ndege ambaye alikuwa anatangaza kwenye kipindi cha Njia Panda hicho ambacho kwa sasa hakisikiki tena.
 
Punguza jaziba mzee, weka point zieleweke.

Tatizo hapa si madarasa yao, ila ni uwezo wao wa kuanalyze issues mbalimbali. ni kweli wanatalents ambazo waliosoma hawana, ila kinacho waudhi wengi ni kule kushabikia mambo kuanalize kwa poor thinking issue katika jamii kana kwamba wao ndo wanafahamu au wametuma.
Mi nadhani chomba cha habari ni vizuri kikawa objective na siyo subjective. kwa kuwa kinasilizwa na wengi ni rahisi kupotosha umma kama kitakuwa subjective.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom