Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Jamani nani kawambia ukiwa na degree ndio soln ya kufabya kazi kwa ufanisi;sio nawatetea vijana wana vipaji na kama kweli awana elimu vyema washirikishwe kozi ndogo ndogo..labda kwa kifupi tu
ni marubani 5 kati ya 50 walio na degree
na wanaoendesha ndege zetu kwa upande wa atc na precission na wale wasiokuwa na degree
wapo very bright hasa wakikumbana na anga za ajabu ajabu ..ukiacha makosa madogo madogo ya kawaida
so atukatai lakini vyema wakaelezwa kujiendeleza na kujifunza kujua jinsi ya kuheshimu mahali pa kazi ni meona ma dada fulani wanatukana tukana ovyo kwenye redio na vipindi vyao dina na gea kama si kosei ukisikia vipindi vyao haata
Issue sio degree tu .Cheti ni kitambulisho kuwa umesomea hiyo kazi. Hatuwezi kuendesha mambo kwa eti vipaji* Media ni chombo muhimu kwa maendeleo na kama wanaokiendesha ni failures hayo maendeleo yatakujaje? Nashangaa wanaJf wengine wanashabikia vipaji -usanii- .Media is a proffesional institution which ought to be run in a proffessional manner. Lack of that ca'nt be called media rather a caricuture type of . Sio ajabu ndio maana imekuwa ikirusha hewani propaganda za kipuuzi kama zile za kukandia mgomo , na upuuzi kibao kama yale ya akina Zinduka n.k