Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 31,980
- 95,495
Amen to thatjana nilitangaza rasmi kuacha
Amen to thatjana nilitangaza rasmi kuacha
Unatumia app gani kuficha hizo msg mkuu?Dooh!!dats is bad kwakwe.Mm simfanyiagi hivyo wife.Mesage za mpago wa kando nimeziwekea utaratib mzuri zikiingia hata hawez jua hata mm mm siwez jua mpaka nikumbuke kupekenyua ndio nizijibu.
Ahahahahahha
Shemeji alipata zawadi gani baada ya kukuaminisha?Yes
X wangu huyo, alikuja mkoa niliokuwepo wakati huo na kuondoka bila kuniambia kumbe walikua wanaenjoy na bff (shoga) wangu wa pika pakua!!! Nilihisi na nikaja kuaminishiwa na shemeji yangu nikapewa story ya mchezo mzima ulivyokuwepo
Duh pole snAlinipa gono nkasepa kimya kimya nikaja mwambia badae sana akakiri kuchepuka kipindi hicho ......
Il hzi kwaya hiziKila siku yeye yupo na bibilia mkononi mguu na njia kwenda kanisani, kumbe analiwa na waimba kwaya wenzake.
Nilivyojua nikapiga chini