Gyole
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 7,007
- 7,045
Alikuwa anachart mkuu halafu ukiibia kuangalia unaona
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii not neccessary sana iwe cheating.
Kwamfano mm kwasasa niko busy sana na cm kuliko kawaida kwasababu ya uzi wa kula tunda kimasihara.
Sasa cjui yf kama atakua anahic hivyo kama ww!!!!?!!!??!!!
Sent using Jamii Forums mobile app