sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,034
Ni kazi sana mwanamke kujuia na pesa za mwanaume labda awe ni mtoo wa kishua au ana kazi yake inamlipa fresh,
Hali hii imepelekea vijana wengi wenye pesa kutembea ama kuoa wanawake wanaojali pesa zao tu, na endapo kukawa kuna mtu mwenye pesa zaidi basi hawajiulizi mara mbili kukuacha ama kuchanganya wanaume bila wao kujua.... ni kama paka unaemlisha samaki kila siku ila ghafla pakawa hapaeleweki unamwekea ugali anaususa, kesho kutwa unamkuta yupo kwa jirani mwenye uwezo wa kumpa samaki na maziwa.
hali hii imefanya wengine wajaribu kuishi maisha ya kimaskini (huku biashara zao zikiendelea kuwaingizia vipato ama mishahara yao ikiendelea kuingia) ili wapate wanawake wanaowapenda kama walivyo na kuna muvi huwa zinatengenezwa kabisa... wengine hujifanya walinzi, wengine hujifanya wauza karanga mtaani, wengine hujifanya ma waiter, wengine hujifanya wafagiaji, n.k.
Hali hii imepelekea vijana wengi wenye pesa kutembea ama kuoa wanawake wanaojali pesa zao tu, na endapo kukawa kuna mtu mwenye pesa zaidi basi hawajiulizi mara mbili kukuacha ama kuchanganya wanaume bila wao kujua.... ni kama paka unaemlisha samaki kila siku ila ghafla pakawa hapaeleweki unamwekea ugali anaususa, kesho kutwa unamkuta yupo kwa jirani mwenye uwezo wa kumpa samaki na maziwa.
hali hii imefanya wengine wajaribu kuishi maisha ya kimaskini (huku biashara zao zikiendelea kuwaingizia vipato ama mishahara yao ikiendelea kuingia) ili wapate wanawake wanaowapenda kama walivyo na kuna muvi huwa zinatengenezwa kabisa... wengine hujifanya walinzi, wengine hujifanya wauza karanga mtaani, wengine hujifanya ma waiter, wengine hujifanya wafagiaji, n.k.