Kwa sasa ni kubet mkuu
Ww hujapitia iyo njia una utajiri gani mpk ss zaidi ya kuzunguka JF tu humu atleast ungekuwa na makampuni hata matano ndo uongee izo shudu ss huna hata kampun mojaUnaanza rasmi kuutafuta umaskini
Naelewa mkuu , utasikia mtu analalamika 'ooh bodi wanakata sana mara ooh bodi wameongeza deni n.k..'Hiyo si inakatwa automatically Chief