Je? ukijaribiwa hivi na shetani

madhabaunyeusinyeusi

JF-Expert Member
Dec 31, 2016
200
95
Katika maaandiko takatifu yesu arijaribiwa na shetani kwa kumuambia badli jiwe hill kua mkate lakini aksema siwezi mjaribu bwana mungu wangu, JE? kama wewe mwana JF ikatokea shetani akakujaribu kila jani la mwembe kua noti ya ELFU KUMI umsaliti mwokozi wako kwa haraka nini utafanya?
 
Kwan majarbu si kaumbiwa mwanadamu bana so acha nijarbke then ntaomba msahama na kutubu
Hope won't be too late to apologize
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom