Tuambizane umeoana na mtu mpaka sasa mmeaminiana miaka mingi , halafu suddenly mtu anaushahidi kuwa mmeo ni anahusika na vitu vya kishirikina
Akakupa ushaidi na huo ushaidi unakuaminisha. Na anayekupa huo ushaidi ni mzimu kakutokea what will you do?
Akakupa ushaidi na huo ushaidi unakuaminisha. Na anayekupa huo ushaidi ni mzimu kakutokea what will you do?