GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,848
- 109,556
Je,
1. Uwalipizie Kisasi?
2. Uwasamehe na ikibidi Uwasaidie baadhi yao?
3. Uwafanyie Kufuru ya Kimatumizi?
4. Kama ni Wanaume basi kwa Makusudi utembee / ulale na Wake zao?
5. Kama ni Wanawake basi Ulale nao ( Uwakaze ) bila Huruma?
6. Uwatambie kwa Kuwakera
7. Unyamaze, utumie muda wako mwingi Kufanya Jukumu lako huku sasa Ukijijenga upya Kimaisha na ukiendelea Kumuomba na Kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa BARAKA zake KUBWA na KUKUFUNGULIA MLANGO wa MAFANIKIO ya KIHESHIMA tena katika Taifa lingine?
Nasubiria tu Kusoma Maoni yenu Ok?
1. Uwalipizie Kisasi?
2. Uwasamehe na ikibidi Uwasaidie baadhi yao?
3. Uwafanyie Kufuru ya Kimatumizi?
4. Kama ni Wanaume basi kwa Makusudi utembee / ulale na Wake zao?
5. Kama ni Wanawake basi Ulale nao ( Uwakaze ) bila Huruma?
6. Uwatambie kwa Kuwakera
7. Unyamaze, utumie muda wako mwingi Kufanya Jukumu lako huku sasa Ukijijenga upya Kimaisha na ukiendelea Kumuomba na Kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa BARAKA zake KUBWA na KUKUFUNGULIA MLANGO wa MAFANIKIO ya KIHESHIMA tena katika Taifa lingine?
Nasubiria tu Kusoma Maoni yenu Ok?