Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 2,431
- 4,929
Wadau naombeni mnijuze maana siamini kama hiki kitu kipo nasikia tu stori kwa watu sijawahi kuthibitisha he ni kweli au ni stori tu?
Kabla ya kukujibu, uchawi ni nini? Chanzo chake ni nini? Je kuna ushahidi wa kuuthibitisha?Wadau naombeni mnijuze maana siamini kama hiki kitu kipo nasikia tu stori kwa watu sijawahi kuthibitisha he ni kweli au ni stori tu?
Hamna, you cannot prove it hata ukimpeleka anaeamini maabaraKabla ya kukujibu, uchawi ni nini? Chanzo chake ni nini? Je kuna ushahidi wa kuuthibitisha?
Tuthibitishie kuwa uchawi upo, nikulete huku kwetu unionyesheSubiri ukikua utapata jibu
Kweli ndugu, Kuna taarifa juzi nimeona huko Shinyanga jamaa kaweka kivuli kwenye mashindano ya baiskeli binafsi nadhani ni coincidence tu na hakuna ushaidi wowote kama ni uchawi wanadhaniaHaupo. Ujinga ndiyo unafanya watu waamini uchawi.
Nadhani huwa ni propaganda na stori za uzishi tu. No proof ya uchawi, waganga wakienyeji wanapiga sana wajingaTumemloga mzee wa msoga mpaka tumechoka, na hakuna kitu kiichotokea....
Wanasema uchawi hauna nguvu mbele ya majini....
Tuko kwenye harakati za kumtupia jini subiani tuone....
Na watu wanavyo uamini hasa kwenye nchi yetu hii. Jana naona machifu wa Sumbawanga wametoka onyo kwa atakae andamana tarh 29 nadhani ni ujinga tu wa hawa wazeeUzushi tu. Vinginevyo wangemloga Trump, Putin, na wengine wengi. Ingekua uchawi unafanya kazi, wazungu wasingehangaika na sayansi au viwanda ili kuendelea, wangefanya uchawi tu. Sisi pia, uchawi ungekua unafanya kazi, tusingekua Afrika ya shida na majanga leo hii.
Mbona una haraka?? Subiri ukikua utapata jibu, hata kama una 40+ inawezekana bado hujajua mambo mengi, wewe kua mvumilivu omba uzima, hata hawa wa jf unaowafuatisha wenye kauli kama yako ni suala la mda tuu.Tuthibitishie kuwa uchawi upo, nikulete huku kwetu unionyeshe
Unaweza kutoa prove ya unayoyasema?Ukiona mtu anasema hakuna uchawi huyo ni punguani ni swala la muda tu aokote makopo
Pili anaesema uchaw hamna huyo sio mkristo wala muislamu wala mpagan sijui ni mtu kutoka jamii gani
Mbona unapiga chenga, nishatoa maelezo kwa anaetaka KUTHIBITISHIWAUnaweza kutoa prove ya unayoyasema?
Kwahiyo kina Mimi na kina Kiranga unaweza kutuaminisha vipi unayoyasema??
😂😂😂Kuna vitu vya kijinga lakini Kuna mtu anaamini Kuna kitu kinaitwa uchawi 🙌🏻.Mbona una haraka?? Subiri ukikua utapata jibu, hata kama una 40+ inawezekana bado hujajua mambo mengi, wewe kua mvumilivu omba uzima, hata hawa wa jf unaowafuatisha wenye kauli kama yako ni suala la mda tuu.
Nije wapi mzeeMbona unapiga chenga, nishatoa maelezo kwa anaetaka KUTHIBITISHIWA
👇👇👇👇👇
Thread 'Mnaosema hamuamini uchawi, njooni niwathibitishie' Mnaosema hamuamini uchawi, njooni niwathibitishie
Thread 'Mnaosema hamuamini uchawi, njooni niwathibitishie' Mnaosema hamuamini uchawi, njooni niwathibitishie😂😂😂Kuna vitu vya kijinga lakini Kuna mtu anaamini Kuna kitu kinaitwa uchawi 🙌🏻.
Mbona hatuwatafuti wampige Samia kimbola, tusiandamane 29