Je! tuwaamini PCCB, CAG, TRA au Prof Muhongo?

Je! tuwaamini PCCB, CAG, TRA au Prof Muhongo?

pro muhongo tutakutia kibiriti mzima mzima....na hao wansotetea uku$#@&&& huo
 
Bahati nzuri unabwabwaja yote haya ukiwa nyuma ya keyboard tu, mi nilidhani uko mtaani tayari? Ndio uzuri wa Wadanganyika, maneno meeeengi vitendo sufuri! Pumbav.u!
Mwisho wa simbilisi Kama wewe uko karibu sana
 
Hivi ni hela ya kampuni gani binafsi inaweza kuitapanya namna hiyo?
Kampuni ya aina hiyo bado haijaundwa dunia nzima.
Hao fisi walikuwa wanashangalia nyama pale Serengeti National Park. Hizo ni nyama za taifa hivyo ni mali ya umma.
Kwa wazimu gani alionao Rugemarila asambaze pesa namna hiyo?
Walikuwa wanapeaana rushwa ikiwemo kodi ya serikali.
 
Mie wanijibu hili moja tuuu.. Kwanini walitumia nguvu nyingi sana kujaribu kulizuia hili lisiletwe na kujadiliwa bungeni..?

Ila daaah Profesa Mhongo umeua..! Yaani pamoja na kukombwa hizo Bilioni zote bado serikali inadaiwa..?:A S confused::A S confused::A S confused:
 
Sitetei wizi ila unakosea sana...kila mtu ana haki ya nafasi ya kujitetea kabla ya hukumu....Report ya CAG na PCCB ni findings zao.....Mtuhumiwa pia anapaswa kuelezea upandewake wa hadithi..
Mpinge kwa hoja na si ushabiki

Hao wwnaotoa utetezi wao leo walipewa nafasi hiyo wakati wa uchunguzi wa CAG na PCCB pia. Na wamerekodiwa sauti zao. Ni vipi hawakuitumia nafasi hiyo pale ilipo stahili waje leo na kujitetea bungeni. Je, kisa cha kukimbilia mahakamani kuweka zuio huku wakijua taratibu zote zilifuatwa?!

Mwisho wote wakiopewa pesa walifanya kazi gani kustahili malipo hayo?!

Hata matajiri wanaofahamika Afrika hatujawaona wakigawa pesa kwa mtindo huu!!!
 
Hawa wanasiasa ndiyo kazi yao kutengeneza uongo wezi wameiba wanakuja wanajitetea
kwa deatels za uongo sisi wananchi tukazie pale tu ni kwa nini pesa hizo waligawiwa watumishi wa
serikali na wanasiasa hapo tu inatosha kuwaondoa hawa hata kama kwa kukubali vifo
 
Kwa hali ilivyo sasa, je tatizo ni nani wa kuaminiwa? PCCB na CAG au Muhongo? Je ni TRA na TANESCO waliosema sehemu ya hela ya escrow ilikuwa na VAT au porof Muhongo?
Toa msimamo wako

Utamwamini vp professor wa kutunga uongo?
 
Hapa porojo sasa hazina nafasi, Prof. Apingwe kwa hoja yeye ameshashusha nondo zake anawasubiri tena

ni nondo zipi alizotoa profesa?Kwani wewe hujui kuwa ukiingiza hela kibiashara ni lazima ukatwe kodi?tena sio VAT peke yake,sasa mtu msomi anasema TRA waifate PAP?
 
Kwanini TANESCOW hawakupeleka pesa hiyo ya kodi TRA na badala yake wakaipeleka IPTL???????????!!!! hapa ndo kichwa kitaniuma ingawa baadhi yenu mtasema nimemegewa. Ama TANESCO hawaijui account ya kulipia kodi kule TRA??????. mimi kila mwezi nakatwa kodi na wala siioni kwani mwajiri anaipeleka TRA halafu anaianiarifu kuwa xxx Tshs zimepelekwa TRA. Kama kweli ilitakiwa iwe hivyo ni nani aliyebariki uamuzi huo mbovu. IPTL ilikuwa kampuni ya kigeni TANESCO yetu kwa nini akusanye TANESCO halafu kukabidi iwe ni ​IPTL. BICHWA LANGU LAUMA KWA MASWALI YASIYO NA MAJIBU HAPA.

Kiwango cha kodi kingejulikana baada ya invoice halisi kutolewa kwa kuwa kiwango walichokuwa wanadeposit ni zaidi ya inachotakiwa kilipwa.
 
Muhongo ni mwongo. Alete takwimu na vielelezo vya malipo ya kodi ya zile fedha ziliwekwa Escrow account.r
Alete utetezi ni kwani ni hisa ziuzwe milioni 6 USD halafu tra ipelekwe milioni 6 TSHs.

Kwlei wizi na uwongo havitenganagi.

We need back our money.

Hehehe Takwimu kwenye vielelezo vya Kodi umeona wapi wewe? Kwan tunaangalia nchi ama kampuni moja?
 
Kiroboto ndiye tatizo kama hujagundua; anafungulia watuhumiwa wabwabwaje kuuchanganya umma na kuua hoja kifisadi na pia kupoteza muda wafunike kombe. Ndugai hakutimuliwa bure hebu fikirieni vizuri hilo jambo

Kwan spika wa Bunge ni Ndugai sasa? Sio Makinda?
 
Kwa hali ilivyo sasa, je tatizo ni nani wa kuaminiwa? PCCB na CAG au Muhongo? Je ni TRA na TANESCO waliosema sehemu ya hela ya escrow ilikuwa na VAT au porof Muhongo?
Toa msimamo wako
Zitto amekwisha waambieni ripoti ya Muongo sio verified na hata mahakama inalazimika kukubali ripoti ya cag, takukuru Tra etc kwa sababu ni vyombo husika.
 
Back
Top Bottom