Je! tuwaamini PCCB, CAG, TRA au Prof Muhongo?

Je! tuwaamini PCCB, CAG, TRA au Prof Muhongo?

Hapa porojo sasa hazina nafasi, Prof. Apingwe kwa hoja yeye ameshashusha nondo zake anawasubiri tena

Hana hoja. Ripoti ya PAC inavielelezo toka PCCB na CAG.
 
Mbona utetezi wa Muhongo ni mwepesi sana. Kukana eti fedha za escro siyo za umma wakati TRA, PCCB na CAG wamethibitisha?
 
Ukiona utawala uliopo madarakani ni kinara wa ufisadi hawawezi kukubali kuwa ni kweli wameiba.ushahidi wa pesa iliyogawiwa kwa mawaziri waliopita wa nishati,majaji, na mawaziri waliopo madarakani sio hisani ni rushwa ya wazi. Muhongo amezidi kudanganya umma huku akionyesha kiburi na jeuri kuwa zile pesa sio za umma.

Dawa ya hawa mafisadi ni kuwang'oa kwa nguvu Kama ilivyokuwa Burknafaso.la sivyo kikundi cha watu wasiozidi 100 watatuona watanzania wote 45 million+ Kama hatuna akili.

Wito kwawabunge:anzenikwanza kumuondoa Spika kwa kura ya kutokuwa na Imani naye kwa kuwaalichofanya si sahihi kutoa mud a kwa waziri anayetuhumiwa kujibu mashambulizi kabla ya mjadala.Huyu Makinda mkiendelea kumlealea ataendelea kutumika na mafisadi.wananchi tunasema insulate sasa.

Makinda akiendelea kuwalinda naye aondolewe mara moja.
 
hakuna mwananchi aliyeamini maneno ya muhongo wasijidanganye tena majibu yao ndio yametia sana hasira
 
Kiroboto ndiye tatizo kama hujagundua; anafungulia watuhumiwa wabwabwaje kuuchanganya umma na kuua hoja kifisadi na pia kupoteza muda wafunike kombe. Ndugai hakutimuliwa bure hebu fikirieni vizuri hilo jambo
Halafu tukishafikiria ndio inakuwaje?
 
Ukiona utawala uliopo madarakani ni kinara wa ufisadi hawawezi kukubali kuwa ni kweli wameiba.ushahidi wa pesa iliyogawiwa kwa mawaziri waliopita wa nishati,majaji, na mawaziri waliopo madarakani sio hisani ni rushwa ya wazi. Muhongo amezidi kudanganya umma huku akionyesha kiburi na jeuri kuwa zile pesa sio za umma.

Dawa ya hawa mafisadi ni kuwang'oa kwa nguvu Kama ilivyokuwa Burknafaso.la sivyo kikundi cha watu wasiozidi 100 watatuona watanzania wote 45 million+ Kama hatuna akili.

Wito kwawabunge:anzenikwanza kumuondoa Spika kwa kura ya kutokuwa na Imani naye kwa kuwaalichofanya si sahihi kutoa mud a kwa waziri anayetuhumiwa kujibu mashambulizi kabla ya mjadala.Huyu Makinda mkiendelea kumlealea ataendelea kutumika na mafisadi.wananchi tunasema insulate sasa.

Makinda akiendelea kuwalinda naye aondolewe mara moja.

Bahati nzuri unabwabwaja yote haya ukiwa nyuma ya keyboard tu, mi nilidhani uko mtaani tayari? Ndio uzuri wa Wadanganyika, maneno meeeengi vitendo sufuri! Pumbav.u!
 
Kwa hali ilivyo sasa, je tatizo ni nani wa kuaminiwa? PCCB na CAG au Muhongo? Je ni TRA na TANESCO waliosema sehemu ya hela ya escrow ilikuwa na VAT au porof Muhongo?
Toa msimamo wako

kuna mtu kasema kuna ccm imani na maslai, kama ndivyo iyo hawa wengine wanapigania ulaji..hawaaminiki.

hawa watumishi wa kukusanya kodi..TRA, NA PCCB nawaeza kuwaamini.
 
Watueleze wananchi hizi fedha walizopewa wabunge ,maofisa WA serikali Na mawaziri walipewa kwa misingi gani Kama siyo rushwa?naona wanazunguka Tu hawana hoja za msingi.
 
Kwa hali ilivyo sasa, je tatizo ni nani wa kuaminiwa? PCCB na CAG au Muhongo? Je ni TRA na TANESCO waliosema sehemu ya hela ya escrow ilikuwa na VAT au porof Muhongo?
Toa msimamo wako

Tunatakiwa tuamini ripoti za mamlaka za uchunguzi yaani TAKUKURU na CAG full stop na sio Muhongo
 
Watueleze wananchi hizi fedha walizopewa wabunge ,maofisa WA serikali Na mawaziri walipewa kwa misingi gani Kama siyo rushwa?naona wanazunguka Tu hawana hoja za msingi.

Jana ulielezwa, hukuelewa? Okay, hata kama wakirudia kukueleza ndio utafanya nini sasa?
 
Bahati nzuri unabwabwaja yote haya ukiwa nyuma ya keyboard tu, mi nilidhani uko mtaani tayari? Ndio uzuri wa Wadanganyika, maneno meeeengi vitendo sufuri! Pumbav.u!

Jifunze kuheshimu mawazo ya watu...misri walianza kiuniuni tu kupitia social media...Burkina faso nao ilianza kiuni tu...ata hapa inawezekana cha msingi kujenga hoja mbele kwa masilah ya taifa.

Pesa kweli zimebebwa, Zirudi sasa.
 
Jifunze kuheshimu mawazo ya watu...misri walianza kiuniuni tu kupitia social media...Burkina faso nao ilianza kiuni tu...ata hapa inawezekana cha msingi kujenga hoja mbele kwa masilah ya taifa.

Pesa kweli zimebebwa, Zirudi sasa.
Itachukua miaka elfu 6 kwa Wadanganyika kuja kufikia uelewa na level ya Wamisri na hata binadamu wengine nje huko! Kama huamini leo basi utakuja kushuhudia miaka elfu 6 ijayo!
 
Kwa hali ilivyo sasa, je tatizo ni nani wa kuaminiwa? PCCB na CAG au Muhongo? Je ni TRA na TANESCO waliosema sehemu ya hela ya escrow ilikuwa na VAT au porof Muhongo?
Toa msimamo wako

Kuhusu VAT take my words.

Kama hiyo ndio justification ya kudai zile ni pesa za UMA huo ni UONGO MKUBWA SANA KUTOKA TRA na PAC.
VAT iliyo kwenye invoice amount au kwenye malipo yanayokwenda kwa mlipwaji sio mali ya UMA kwa sababu ya mfumo wa malipo ya VAT kwa serikali.

Hivyo madai kwamba hiyo VAT ilipaswa kwenda serikalini badala ya IPTL ni UONGO,UPOTOSHAJI NA UKANJANJA WA HALI YA JUU wa sheria ya kodi la ongezeko la thamani.
 
Back
Top Bottom