Je! tuwaamini PCCB, CAG, TRA au Prof Muhongo?

Je! tuwaamini PCCB, CAG, TRA au Prof Muhongo?

Mudawote

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
11,569
Reaction score
16,017
Kwa hali ilivyo sasa, je tatizo ni nani wa kuaminiwa? PCCB na CAG au Muhongo? Je ni TRA na TANESCO waliosema sehemu ya hela ya escrow ilikuwa na VAT au porof Muhongo?
Toa msimamo wako
 
Kwa hali ilivyo sasa, je tatizo ni nani wa kuaminiwa? PCCB na CAG au Muhongo? Je ni TRA na TANESCO waliosema sehemu ya hela ya escrow ilikuwa na VAT au porof Muhongo?
Toa msimamo wako

Ina maana wewe unataka kupoteza muda wa kumwamini mwizi? Kusema hela za Escrow sio za umma, halafu utokaji wake kutumia utaratibu wa hela za umma huo uongo wa kudanganya mazuzu. Wao waachie madaraka, kisha tuwapandishe kizimbani na tuwafilisi.
Ova
 
Ina maana wewe unataka kupoteza muda wa kumwamini mwizi? Kusema hela za Escrow sio za umma, halafu utokaji wake kutumia utaratibu wa hela za umma huo uongo wa kudanganya mazuzu. Wao waachie madaraka, kisha tuwapandishe kizimbani na tuwafilisi.
Ova

Mi Muhongo leo kuharibu siku yangu kabisa. PCCB na CAG ndivyo vyombo vya mwisho kwa uchunguzi na siyo propaganda za mwizi muhongo
 
Prof.Muhongo ni mwizi wa pesa za umma hakuna cha maana alichojibu zaidi ya kupoteza muda wake.
 
hakuna mwizi asiyejitetea na kukubali uovu wake..kwanza jina lenyewe tu la huyo prof ni utata..
ukiondoa H hapo kati anakua anasadifu kile alichokisoma...yaan ataitwa Profesa MUONGO..
Kwa hali ilivyo sasa, je tatizo ni nani wa kuaminiwa? PCCB na CAG au Muhongo? Je ni TRA na TANESCO waliosema sehemu ya hela ya escrow ilikuwa na VAT au porof Muhongo?
Toa msimamo wako
 
Muhongo ni mwongo. Alete takwimu na vielelezo vya malipo ya kodi ya zile fedha ziliwekwa Escrow account.r
Alete utetezi ni kwani ni hisa ziuzwe milioni 6 USD halafu tra ipelekwe milioni 6 TSHs.

Kwlei wizi na uwongo havitenganagi.

We need back our money.
 
Hapa porojo sasa hazina nafasi, Prof. Apingwe kwa hoja yeye ameshashusha nondo zake anawasubiri tena
 
Muhongo ni mwongo. Alete takwimu na vielelezo vya malipo ya kodi ya zile fedha ziliwekwa Escrow account.r
Alete utetezi ni kwani ni hisa ziuzwe milioni 6 USD halafu tra ipelekwe milioni 6 TSHs.

Kwlei wizi na uwongo havitenganagi.

We need back our money.
Muhongo amejibu ukurasa kwa ukurasa ripoti ya PAC, wewe hayasijui unayatoa wapi
 
Kwa hali ilivyo sasa, je tatizo ni nani wa kuaminiwa? PCCB na CAG au Muhongo? Je ni TRA na TANESCO waliosema sehemu ya hela ya escrow ilikuwa na VAT au porof Muhongo?
Toa msimamo wako
Kiroboto ndiye tatizo kama hujagundua; anafungulia watuhumiwa wabwabwaje kuuchanganya umma na kuua hoja kifisadi na pia kupoteza muda wafunike kombe. Ndugai hakutimuliwa bure hebu fikirieni vizuri hilo jambo
 
Mi Muhongo leo kuharibu siku yangu kabisa. PCCB na CAG ndivyo vyombo vya mwisho kwa uchunguzi na siyo propaganda za mwizi muhongo

Sitetei wizi ila unakosea sana...kila mtu ana haki ya nafasi ya kujitetea kabla ya hukumu....Report ya CAG na PCCB ni findings zao.....Mtuhumiwa pia anapaswa kuelezea upandewake wa hadithi..
Mpinge kwa hoja na si ushabiki
 
Kiroboto ndiye tatizo kama hujagundua; anafungulia watuhumiwa wabwabwaje kuuchanganya umma na kuua hoja kifisadi na pia kupoteza muda wafunike kombe. Ndugai hakutimuliwa bure hebu fikirieni vizuri hilo jambo

Ni haki yao kujitetea kabla ya hatua kuchukuliwa, pamoja na hayo hawajatoa majibu ya kuridhisha zaidi ya kuji-mwambafai
 
Kwa hali ilivyo sasa, je tatizo ni nani wa kuaminiwa? PCCB na CAG au Muhongo? Je ni TRA na TANESCO waliosema sehemu ya hela ya escrow ilikuwa na VAT au porof Muhongo?
Toa msimamo wako

Kwanini TANESCOW hawakupeleka pesa hiyo ya kodi TRA na badala yake wakaipeleka IPTL???????????!!!! hapa ndo kichwa kitaniuma ingawa baadhi yenu mtasema nimemegewa. Ama TANESCO hawaijui account ya kulipia kodi kule TRA??????. mimi kila mwezi nakatwa kodi na wala siioni kwani mwajiri anaipeleka TRA halafu anaianiarifu kuwa xxx Tshs zimepelekwa TRA. Kama kweli ilitakiwa iwe hivyo ni nani aliyebariki uamuzi huo mbovu. IPTL ilikuwa kampuni ya kigeni TANESCO yetu kwa nini akusanye TANESCO halafu kukabidi iwe ni ​IPTL. BICHWA LANGU LAUMA KWA MASWALI YASIYO NA MAJIBU HAPA.
 
Kumtetea Muhongo na serikali yake inahitaji uwe na akili kama za Lizaboni lakini kwa watu wenye busara kama wapwa zangu lusungo na CHAMVIGA hawawezi kushabikia ujinga huu japo wao ni ccm
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom