Je, Tunaumwa au ni woga wangu tu?

Je, Tunaumwa au ni woga wangu tu?

Daby

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
34,961
Reaction score
80,192
Watu wengi ninaowasoma humu na kwenye mitandao mengine[huenda hata mimi nimo] tuna tatizo la self-sabotage au mental stagnation au labda ni woga wangu tu....

Dalili zake


Uvivu wa kijamii (social apathy) Kukosa motisha ya kuchukua hatua licha ya kuona tatizo.
Mfano: Upo kwenye foleni ya benki mtu anapita foleni kisa anajuana na Mhudumu wa benki unakaa kimya unanyamaza ila utaenda kulalamikia nyumbani au kuteta na mtu aliyejirani yako.

Ugonjwa wa fitina au wivu wa kijamii [collective envy] Kupendelea kuona waliofanikiwa wakilemewa ili wengine wajione bora.
Hapa wanaoonewa zaidi vijana waliofanikiwa mfano kina Diamond, Millard Ayo watatukanwa wee... unakuta mtu anachuki na Ayo kisa tu hapost anachopenda...

Ubaguzi wa kimtazamo [confirmation bias] Kuunga mkono watu sio kwa hoja zao bali kwa sababu wanapingana na wengine waliowashinda.
Mfano : Polepole anawafuasi kwasasa sio kwasababu ya anachosimamia bali kwasababu hawa wanaomuunga mkono wameishiwa silaha za kupambana na anaopambana nao Polepole...hili lipo too psychological maana hata wanaomuunga mkono hawajajiamulua ipo unconscious...

Ukosefu wa mshikamano wa kijamii (social fragmentation) Kukosa umoja na nia ya pamoja ya kutatua matatizo.
Hii ni mifano tu...
 
Watu wengi ninaowasoma humu na kwenye mitandao mengine[huenda hata mimi nimo] tuna tatizo la self-sabotage au mental stagnation au labda ni woga wangu tu....

Dalili zake


Uvivu wa kijamii (social apathy) Kukosa motisha ya kuchukua hatua licha ya kuona tatizo.
Mfano: Upo kwenye foleni ya benki mtu anapita foleni kisa anajuana na Mhudumu wa benki unakaa kimya unanyamaza ila utaenda kulalamikia nyumbani au kuteta na mtu aliyejirani yako.

Ugonjwa wa fitina au wivu wa kijamii [collective envy] Kupendelea kuona waliofanikiwa wakilemewa ili wengine wajione bora.
Hapa wanaoonewa zaidi vijana waliofanikiwa mfano kina Diamond, Millard Ayo watatukanwa wee... unakuta mtu anachuki na Ayo kisa tu hapost anachopenda...

Ubaguzi wa kimtazamo [confirmation bias] Kuunga mkono watu sio kwa hoja zao bali kwa sababu wanapingana na wengine waliowashinda.
Mfano : Polepole anawafuasi kwasasa sio kwasababu ya anachosimamia bali kwasababu hawa wanaomuunga mkono wameishiwa silaha za kupambana na anaopambana nao Polepole...hili lipo too psychological maana wanamuunga mkono unconsciously...

4. Ukosefu wa mshikamano wa kijamii (social fragmentation) Kukosa umoja na nia ya pamoja ya kutatua matatizo.
Hii ni mifano tu...
 
Watu wengi ninaowasoma humu na kwenye mitandao mengine[huenda hata mimi nimo] tuna tatizo la self-sabotage au mental stagnation au labda ni woga wangu tu....

Dalili zake


Uvivu wa kijamii (social apathy) Kukosa motisha ya kuchukua hatua licha ya kuona tatizo.
Mfano: Upo kwenye foleni ya benki mtu anapita foleni kisa anajuana na Mhudumu wa benki unakaa kimya unanyamaza ila utaenda kulalamikia nyumbani au kuteta na mtu aliyejirani yako.

Ugonjwa wa fitina au wivu wa kijamii [collective envy] Kupendelea kuona waliofanikiwa wakilemewa ili wengine wajione bora.
Hapa wanaoonewa zaidi vijana waliofanikiwa mfano kina Diamond, Millard Ayo watatukanwa wee... unakuta mtu anachuki na Ayo kisa tu hapost anachopenda...

Ubaguzi wa kimtazamo [confirmation bias] Kuunga mkono watu sio kwa hoja zao bali kwa sababu wanapingana na wengine waliowashinda.
Mfano : Polepole anawafuasi kwasasa sio kwasababu ya anachosimamia bali kwasababu hawa wanaomuunga mkono wameishiwa silaha za kupambana na anaopambana nao Polepole...hili lipo too psychological maana wanamuunga mkono unconsciously...

4. Ukosefu wa mshikamano wa kijamii (social fragmentation) Kukosa umoja na nia ya pamoja ya kutatua matatizo.
Hii ni mifano tu...
Lawana zote kwa maCCM yameleta singeli kuwa nemboya taifa vijana wanawaza makalio tu badala ya kazi
 
Watu wengi ninaowasoma humu na kwenye mitandao mengine[huenda hata mimi nimo] tuna tatizo la self-sabotage au mental stagnation au labda ni woga wangu tu....

Dalili zake


Uvivu wa kijamii (social apathy) Kukosa motisha ya kuchukua hatua licha ya kuona tatizo.
Mfano: Upo kwenye foleni ya benki mtu anapita foleni kisa anajuana na Mhudumu wa benki unakaa kimya unanyamaza ila utaenda kulalamikia nyumbani au kuteta na mtu aliyejirani yako.

Ugonjwa wa fitina au wivu wa kijamii [collective envy] Kupendelea kuona waliofanikiwa wakilemewa ili wengine wajione bora.
Hapa wanaoonewa zaidi vijana waliofanikiwa mfano kina Diamond, Millard Ayo watatukanwa wee... unakuta mtu anachuki na Ayo kisa tu hapost anachopenda...

Ubaguzi wa kimtazamo [confirmation bias] Kuunga mkono watu sio kwa hoja zao bali kwa sababu wanapingana na wengine waliowashinda.
Mfano : Polepole anawafuasi kwasasa sio kwasababu ya anachosimamia bali kwasababu hawa wanaomuunga mkono wameishiwa silaha za kupambana na anaopambana nao Polepole...hili lipo too psychological maana hata wanaomuunga mkono hawajajiamulua ipo unconscious...

Ukosefu wa mshikamano wa kijamii (social fragmentation) Kukosa umoja na nia ya pamoja ya kutatua matatizo.
Hii ni mifano tu...
Nimeona pia kuna ongezeko la kupingana kwa kutukanana (ad hominem logical fallacy) badala ya kupingana kihoja.

Kuangalia personality zaidi kuliko policy/hoja.

Ndiyo maana unakuta Watanzania wengi kwa mfano, wanataka kumkubali au kumkataa Polepole.

Wengi hawawezi kuchambua hoja na kusema nakubaliana na Polepole kwenye hoja hii na hii na hii, lakini sikubaliani naye kwenye hoja hii na hii na hii.

Ni katika lile jambo la uvivu ulilolisema.

Wengi wanapenda shortcuts za "all or nothing at all", kuchagua mtu na kumkubali kwa jumla au kumkataa kwa jumla, bila ya kuchambua hoja na kukubali hoja kama hoja bila kujali mtu.

Kimsingi suala zima la abstract thinking ni mzigo mzito kwa Watanzania wengi.

Na ukishakuwa na tatizo la abstract thinking hayo mengine yote yanafuatia.
 
Daaah sina neno hapa ... Mi uzi kama ujaongelea mambo ya mashangazi au mizagamuo nakua na mchango mdogo sana...

Ila yote sawa wakuu polepole tutaelewana na polepole
 
Nimeona pia kuna ongezeko la kupingana kwa kutukanana (ad hominem logical fallacy) badala ya kupingana kihoja.

Kuangalia personality zaidi kuliko policy/hoja.

Ndiyo maana unakuta Watanzania wengi kwa mfano, wanataka kumkubali au kumkataa Polepole.

Wengi hawawezi kuchambua hoja na kusema nakubaliana na Polepole kwenye hoja hii na hii na hii, lakini sikubaliani naye kwenye hoja hii na hii na hii.

Ni katika lile jambo la uvivu ulilolisema.

Wengi wanapenda shortcuts za "all or nothing at all", kuchagua mtu na kumkubali kwa jumla au kumkataa kwa jumla, bila ya kuchambua hoja na kukubali hoja kama hoja bila kujali mtu.

Kimsingi suala zima la abstract thinking ni mzigo mzito kwa Watanzania wengi.

Na ukishakuwa na tatizo la abstract thinking hayo mengine yote yanafuatia.
Hakika hapo kwenye kuangalia Personality ya mtu bila kuangalia hoja zake hili ni tatizo Sana mkuu.
 
Hakika hapo kwenye kuangalia Personality ya mtu bila kuangalia hoja zake hili ni tatizo Sana mkuu.
Namsikiliza mtu Maria Space hapa anasema "Tundu Lissu ni mtu ambaye hakuna Mtanzania anayeweza kusimama na kubishana naye"...😂😂😂

Yani mazungumzo yetu haya yanapigiwa mstari in real time.
 
Watu wengi ninaowasoma humu na kwenye mitandao mengine[huenda hata mimi nimo] tuna tatizo la self-sabotage au mental stagnation au labda ni woga wangu tu....

Dalili zake


Uvivu wa kijamii (social apathy) Kukosa motisha ya kuchukua hatua licha ya kuona tatizo.
Mfano: Upo kwenye foleni ya benki mtu anapita foleni kisa anajuana na Mhudumu wa benki unakaa kimya unanyamaza ila utaenda kulalamikia nyumbani au kuteta na mtu aliyejirani yako.

Ugonjwa wa fitina au wivu wa kijamii [collective envy] Kupendelea kuona waliofanikiwa wakilemewa ili wengine wajione bora.
Hapa wanaoonewa zaidi vijana waliofanikiwa mfano kina Diamond, Millard Ayo watatukanwa wee... unakuta mtu anachuki na Ayo kisa tu hapost anachopenda...

Ubaguzi wa kimtazamo [confirmation bias] Kuunga mkono watu sio kwa hoja zao bali kwa sababu wanapingana na wengine waliowashinda.
Mfano : Polepole anawafuasi kwasasa sio kwasababu ya anachosimamia bali kwasababu hawa wanaomuunga mkono wameishiwa silaha za kupambana na anaopambana nao Polepole...hili lipo too psychological maana hata wanaomuunga mkono hawajajiamulua ipo unconscious...

Ukosefu wa mshikamano wa kijamii (social fragmentation) Kukosa umoja na nia ya pamoja ya kutatua matatizo.
Hii ni mifano tu...
Mimi imenitokea mara kadhaa mtu ananikata foleni, namfuata na kumshika shati hata kama ni mzee au mwanamke wafanyakazi wanabaki kushangaa tu. Sitaki usenge hata kidogo.
 
Back
Top Bottom